IFFHS Ranking: Simba SC ya tisa, Yanga haimo

WACHA ULOZI YANGA YA 9 SIMBA WA 10,UTAKE USITAKE MIEZI MIWILI MBELE YANGA TOP 3 YUMO,SO JIANDAE KISAIKOLOJIA
 
Achaneni na hizo rankings za mabeberu.
Juzi Kati walituambia sisi tuko uchumi wa Kati, Tena wakasema sisi tuko Kama donor country wakati unaona kabisa tunapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
Jiulize muda huu leo 15/5 Yanga iko wapi na mwenye namba Yuko wapi na anafanya nini.
 
Update kaka ranking mpya za IFFHS za mwezi huu tuone sasa timu yetu ya kufa kiume tupo pale pale au tumepanda
 
Uliona mbali
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…