Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Na washabiki wake hao wanafurahi[emoji23][emoji23]
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu[emoji848][emoji848]
Sikuelewi!Na hii nayo nimeitoa football database. Nenda kaangalie uje na nyingine tofauti na hii kama ipo!!
Raja walifanya sherehe na kukata keki baada ya kuifunga simba hapa. Horoya waliahidiwa mipesa na matajiri kwa kuifunga simba nyumbani kwao. Uto wanafikiri kwa kuwa simba inafungwa na mayele basi wao watachukua nafasi ya simba hahaaaaKwa watanzania kuibeza Simba niswala la kawaida kwa sababu ni timu tumeizoea muda mwingne inafungwa had na Kagera lkni Simba Kwa Africa ni timu Bora sana
Hahaaa ukiumia sio lazima ulie hadharani waweza kujifungua hata chooni ukalia hukoo ikabaki siri yako. Maumivu yakikuzi sokomeza zaidi ule mwiko wenu uzame zaidiTakwimu za kimbumbumbu hizi,huyo anaeshika namba moja ndio huyu aliekula goal nyingi Jana?
Kwenye list hii Yanga inazidiwa hata na timu inaitwa Future. Si msanii huyu 🤣😂🤣?Hivi hizi data huwa mnamuongopea nani na kwa faida ya nani!? Mbona hamuwezi kuficha umbumbumbu ndugu zangu napata na walakini na aina ya mashabiki wa timu hiyo..kwenye website yao data ambazo zipo updated ni za 1Feb 2022 mpaka 31 Feb 2023..Wewe na Kazumari wako na Mo dewji kama kawaida yenu mkakaa kutafuta cha kuwaongopea mashabiki maandazi wenu na hili muwachanganye zaidi mkaandika tarehe ya kimagumashi 1 march 22 mpaka 28 feb 23 mnapingana kabisa na timeline iliyopo kwenye database zao ambazo zipo updated tarehe 23 February mwaka huu..Huu ni mradi wa nani wa kuwaongopea mbumbumbu?unavyoona hapo simba ipo top ten?View attachment 2547246
WamekoseaSimba ipi?
Nilidhani ikifungwa na Mayele ndo inakuwa level za Lipuli tayari, au jamaa wamekosea?
Hata km no 11, ni sehemu nzuri pia.Hivi hizi data huwa mnamuongopea nani na kwa faida ya nani!? Mbona hamuwezi kuficha umbumbumbu ndugu zangu napata na walakini na aina ya mashabiki wa timu hiyo..kwenye website yao data ambazo zipo updated ni za 1Feb 2022 mpaka 31 Feb 2023..Wewe na Kazumari wako na Mo dewji kama kawaida yenu mkakaa kutafuta cha kuwaongopea mashabiki maandazi wenu na hili muwachanganye zaidi mkaandika tarehe ya kimagumashi 1 march 22 mpaka 28 feb 23 mnapingana kabisa na timeline iliyopo kwenye database zao ambazo zipo updated tarehe 23 February mwaka huu..Huu ni mradi wa nani wa kuwaongopea mbumbumbu?unavyoona hapo simba ipo top ten?View attachment 2547246
Hata km no 11, ni sehemu nzuri pia.
Nilikua namuona GENTAMYCINE ni shabiki mpuuzi pekee wa simba hapa JF kumbe na wewe ni mmojawapo.....Mnatoa ufafanuzi mzuri. Nyie mbuzi mnaopigiwa gitaa ifike wakati msikie basi.
Cake ya kuwa namba 9 kwny rank hqhahhwwhhwhwhwhwhwNa cake wangetengeneza
Na wewe unakubali tunazidiwa na deagosto
Uto wana wivu mpaka wanatishaCake ya kuwa namba 9 kwny rank hqhahhwwhhwhwhwhwhw
Na Leo geita wanajipakulia minyamaCake ya kuwa namba 9 kwny rank hqhahhwwhhwhwhwhwhw
Aaaah sasa ndo wee unaumia na hili?? Relaaaaaax bhana.Hatukatai lakini kuna haja gani ya kuongopea watu nafasi halisi?? Si mara moja wanafanya hivi unakuta kwenye rank simba ni ya 12 wao wanaiweka ya saba hili tu iwe kwenye kumi bora...Sasa ndio nauliza kuna haja gani ya kufanya hivi wakati kila kitu siku hiz ni rahsi kukipata mtandaoni?
Na iwe hivyoNa Leo geita wanajipakulia minyama