Ifike hatua niachwe tu!

Bro hao ambao S wanaweka X kama mpaka sasa umeweza kusurvive mshukuru sana Mungu bila ivo ungeshakufa hao hawaoni shida kukuua kabisa maana wanachoangalia kwao ni maslahi yao binafsi tu hata kama ukimwambia sina hela yuko radhi kukupa ushauri uuze simu yako au gheto ulilopanga
 
Hahah nimecheka hiyo misemo ya uchumi wa kati. Lakini mnawakosea sana akina Kim, wale wanamiliki mkwanja wa laana hawapaswi kufananishwa hata kwa bahati mbaya na hawa wajukuu wa TANU.
[emoji23][emoji23][emoji23] Anaanzisha miradi mikubwa mikubwa ununuzi wa mikoba, viatu, mawigi... Shida hana adabu anadanganya anatumia mapato ya ndani kumbe nipo dona kantri halafu hani appreciate!!

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Hao mnaowasifia hawaombi sio kwamba wanapenda kutokupewa pesa. Hawana tu ujasiri wa kuomba ila asilimia karibu mia ya wanawake tunapenda pesa za wapenzi wetu
Tatizo sio kuomba hela au kutoa hela, najua kuna wakati natakiwa kum spoil mtu wangu ila sasa isiwe ndio sheria kwamba kazi yake ni kutoa mbususu na kazi yangu Ni kumpa hela randomly! Yaani hachangii chochote kwa relationship zaidi ya mbususu yake!

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Nimeshtuka mkuu, hanipati Sasa!

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣 Yaanu ningeshamuacha hapo kwenye suala la kuzingatia x badala ya s
 
Wazee wa uingereza walipokutana na wahuni walisema WRITING IS AN ART...

ukiona demu anaandika xaxa, p, k, xawa.. Hakikisha unatumia Condom..

Thank me later
 
Anapiga mziga kuliko serikali yetu, halafu akipewa hela anajifanya eti maendeleo yake yanatoka na hustle zake tu yaani pesa za ndani! Anajiita malkia wa nguvu, malkia wa nguvu halafu unategemea donor country!!!

Nchi ya maziwa na Asali..

Mkuu natumai ulichwa na hujarudia tena kuwa na manzi za dizaini hio
 
Umenikumbusha bi mdada amemaliza udom 2019 aliita KIM...ni jinga fulani. Yeye anasmini mapenzi pesa[emoji15] ilibidi tuachane japo ndio hivyo anadam yangu but potelea mbali atafute wanaohonga ovyoovyo awape hiyo mbususu hapo atafurahi.
 
Mzee baba umekubali matokeo, bora uachwe tu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha bi mdada amemaliza udom 2019 aliita KIM...ni jinga fulani. Yeye anasmini mapenzi pesa[emoji15] ilibidi tuachane japo ndio hivyo anadam yangu but potelea mbali atafute wanaohonga ovyoovyo awape hiyo mbususu hapo atafurahi.
Ukiona demu ni mnyonya damu tomba SEPA usiweke kambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…