Ok. SawaKuongeza utamu mkuu..
ulitaka ndo ww upewe hiyo nafasi?Kulikuwa na haja gani ya yule dada kutokea ''uchi''
mrafute umpe nguo labda hanaKulikuwa na haja gani ya yule dada kutokea ''uchi''
Ili tuone nyapu.Kulikuwa na haja gani ya yule dada kutokea ''uchi''
Mkuu umeusikia wimbo huo...!?
mkuu nothing which last forever! ulitegemea hallelujah ibaki juu maisha?Nmeusikia na kuona pia. Yaan kama kwa wimbo huu ndio anakuwa almasi,basi nitakaa kimya nisikwaze watu. Haleluya ilikuja kwa fujo hizi hizi,ngoja tuone mwisho utakuwaje.
Mwishilo upi Mkuu....Nmeusikia na kuona pia. Yaan kama kwa wimbo huu ndio anakuwa almasi,basi nitakaa kimya nisikwaze watu. Haleluya ilikuja kwa fujo hizi hizi,ngoja tuone mwisho utakuwaje.
Mwishilo upi Mkuu....
Au ww ndo mchepuko wa waziri!?? Acheni washamba wandali muyie
Huo uwaziri mliupataje!??
Mnataka tuseme..