nautizama kila siku, wala hakuna anayenihadithiaMpira unahadithiwa au?
messi hajui kuhangaika kama ronaldo, mtizame vizuri mipira yakeasa unaanzaje kusema messi anasubiri atengenezewe au mwezetu tv yako hua vise versa
Hapo umesema kweli mkuu wisewriter. Ronaldo akiwa ameiwakilisha nchi yake kwenye Kombe la EUFA na nchi yake kuwa bingwa, akiwa pia mchezaji wa klabu ya RMA inayotetea kombe ili na uwezekeno ni mkubwa RMA kulichukua tena upo uku akiwa anasubiri kutawazwa bingwa wa Spain La Liga. Lakini Messi hajawai kuipatia nchi yake kombe lolote zaidi ya klabu yake ya Barca. Hii inampunguzia uzito na nadhani inamwuma sana moyoni akiona mpinzani wake anashinda makombeNi vizuri tukapima mafanikio ya mchezaji ngazi ya club,timu ya taifa na makombe mbalimbali...mess ndiyo mchezaji mzuri saana ila akiwa Barcelona tu...teh teh
Wewe ni Bashitemessi hajui kuhangaika kama ronaldo, mtizame vizuri mipira yake
Una uhakikaHapo umesema kweli mkuu wisewriter. Ronaldo akiwa ameiwakilisha nchi yake kwenye Kombe la EUFA na nchi yake kuwa bingwa, akiwa pia mchezaji wa klabu ya RMA inayotetea kombe ili na uwezekeno ni mkubwa RMA kulichukua tena upo uku akiwa anasubiri kutawazwa bingwa wa Spain La Liga. Lakini Messi hajawai kuipatia nchi yake kombe lolote zaidi ya klabu yake ya Barca. Hii inampunguzia uzito na nadhani inamwuma sana moyoni akiona mpinzani wake anashinda makombe
Pamoja na kwamba katiba inaruhusu uhuru wa maoni kwa kila mmoja, ni mlevi tu anaweza kutoa mawazo uliyoyatoaHapo umesema kweli mkuu wisewriter. Ronaldo akiwa ameiwakilisha nchi yake kwenye Kombe la EUFA na nchi yake kuwa bingwa, akiwa pia mchezaji wa klabu ya RMA inayotetea kombe ili na uwezekeno ni mkubwa RMA kulichukua tena upo uku akiwa anasubiri kutawazwa bingwa wa Spain La Liga. Lakini Messi hajawai kuipatia nchi yake kombe lolote zaidi ya klabu yake ya Barca. Hii inampunguzia uzito na nadhani inamwuma sana moyoni akiona mpinzani wake anashinda makombe
Mkuu! Kuna vitu vinaweza vikawa vinakuuwa taratibu bila wewe mwenyewe kujua.....moja wapo ni hili kumsemea uongo huyu jamaa khaaa!mess ni mtu wa kutengenezewa kisha yeye anamalizia, hahangaiki kama ronaldo hiyo ndio tofauti yao ninayoiona
Mmmmh Iniesta jeMessi talented!!! Namkubali yeye tu pale barca ...