Mejasoko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 298
- 600
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.
Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc
F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.
Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc
F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.