Ifike mahali Mbowe akae pembeni CHADEMA, aweke hata mtu wake awe anam-monitor kuliko kuendelea kutokuwa relevant

Ifike mahali Mbowe akae pembeni CHADEMA, aweke hata mtu wake awe anam-monitor kuliko kuendelea kutokuwa relevant

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.

Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc

F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
 
Mbowe asome alama za nyakati vinginevyo atakiua chama Cha mikono yake mwenyewe. Nguvu,akili na juhudi alizotumia kukijenga chama itakua ni kazi Bure kama akisubili mpaka chama kitawanyike vipande vipande. Binafsi namkubali sana mbowe lkn kwa kipindi alichokiongoza chama sasa inatosha! Awaachie wengine wenye mawazo mapya.
 
Mbowe asome alama za nyakati vinginevyo atakiua chama Cha mikono yake mwenyewe. Nguvu,akili na juhudi alizotumia kukijenga chama itakua ni kazi Bure kama akisubili mpaka chama kitawanyike vipande vipande. Binafsi namkubali sana mbowe lkn kwa kipindi alichokiongoza chama sasa inatosha! Awaachie wengine wenye mawazo mapya.
Sure ajifunze kuwa na kiasi wazungu hawakua wajinga waliposema "too much is harmful"
 
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.

Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc

F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
Tatizo tupo kimaslahi zaidi.
1. Hakuna ubishi ni kiongozi mzuri lkn yatosha sasa

2. Ni mkomavu kisiasa lkn yatosha sasa
 
Shida Wana CHADEMA hawapendi kujikosoa na kujisahihisha ili kwenda sawa na mahitaji ya wakati husika,
Mpo more defensive than receptive
Baadae watakuja kusema wanaibiwa kura au tume inaundwa na watu wa CCM peke yao!.

Hawajifunzi na hawataki kuukubali ukweli kwamba wanafanya makosa yanayojirudia kila uchaguzi unapofika.
 
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.

Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc

F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
Mchaga umwondowe kwenye ulaji?
 
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.

Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc

F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
🙋‍♂️👌👍👊👏🤝🙏
 
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.

Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc

F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
🙋‍♂️👌👍👊👏🤝
Mchaga umwondowe kwenye ulaji?
Mkuu mbona baada ya mzee Mtei alikuja mzee Makani na hakuwa Mchaga?? Wachaga wamekufanyia nini kibaya??
 
Makonda juzi mbowe leo..

Lissu unagusa penyewe endelea kuwatoa pangoni. Ni wewe tu uliyebaki

Join the chain iliwafumba macho na Nasikia mweh.

Eti walioenguliwa wote warudishwe ndio ya kuita press conference? Tupo serious kweli?
Mnaona wananchi hamnazo??

Kuna wengi humu wanatuchukia kwa kusema ukweli juu ya kuwa hakuna upinzani ni biashara kama biashara zingine.

Mlungula unawatesa

Mnawakosea sana wananchi
Mwenyekigoda unazingua
 
Makonda juzi mbowe leo..

Lissu unagusa penyewe endelea kuwatoa pangoni. Ni wewe tu uliyebaki

Join the chain iliwafumba macho na Nasikia mweh.

Eti walioenguliwa wote warudishwe ndio ya kuita press conference? Tupo serious kweli?
Mnaona wananchi hamnazo??

Kuna wengi humu wanatuchukia kwa kusema ukweli juu ya kuwa hakuna upinzani ni biashara kama biashara zingine.

Mlungula unawatesa

Mnawakosea sana wananchi
Mwenyekigoda unazingua
Kabisa mkuu, ni wakati sasa wa Mhe. Mbowe kukabidhi kijiti kwa Lema au Heche HATA KAMA BADO ANAPENDWA SANA. CDM inahitaji mabadiliko ya uongozi ili kuleta changamoto mpya na kuendana na hali ya kisiasa tuliyonayo wakati huu.
 
Ajifunze hata kwa Mandela pamoja na kupendwa sana ila ilibidi akae pembeni mambo mengine yanyooke,
Hata Nyerere aliwahi kukiri waliokuwa wanamwambia ukiondoka nchi hii ni changa bado italeta matatizo, alikuja kugundua walikua wanatetea familia zao na sio nchi.

Akiwa kama kiongozi imara asikubaliane na hoja ya kwamba he is irreplaceable itakua ni big mistake. Hata Daudi pamoja na ushujaa wake ambao haukufikiwa na mtu yeyote aliacha mrithi Suleiman, the same to Musa na Yoshua etc

F.A. Mbowe your focus now should be on the leadership succession plan and implementation not otherwise.
Utaratibu wa Chama chake unasema je?
 
🙋‍♂️👌👍👊👏🤝

Mkuu mbona baada ya mzee Mtei alikuja mzee Makani na hakuwa Mchaga?? Wachaga wamekufanyia nini kibaya??

Unaleta historia ya watu waliowekwa na Ikulu? Hapa gtunaongelea kubwa la maadui, Mbowe.
 
Back
Top Bottom