Pre GE2025 Ifike mahali tuache Kudanganyana, Mbowe hashindi, Mpaka Sasa hakuna Mkoa au Jimbo hata Moja lililosema linamuunga Mkono Mbowe, Kura Zake Ziko Wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Newforce

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2024
Posts
430
Reaction score
708
Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"

Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,

HOJA YANGU,

1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?

2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?

3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?

4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?

5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?

NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
 
Mbowe anapanga kuiba kura tu na kutoa rushwa, Huyu Mzee hakubaliki kabisa
 
Mikoa mingapi imesema?

Mbowe anashughulika na wapiga kura huku Lissu akishughulika na mashabiki.

Kwani Mbowe angeamua kualika wa watu waseme si tungechanganyikiwa tumsikilize nani?. Wakuu wa Kanda na Mikoa wote wanamtaka Mbowe. Wewe huogopi?
 
Mitandao inamzika rasmi mhuni wa ubelgiji.
 
Mikoa mingapi imesema?

Mbowe anashughulika na wapiga kura huku Lissu akishughulika na mashabiki.

Kwani Mbowe angeamua kualika wa watu waseme si tungechanganyikiwa tumsikilize nani?. Wakuu wa Kanda na Mikoa wote wanamtaka Mbowe. Wewe huogopi?
Wana mambo ya Kitoto sana!
 
We danganyika na hawa mashabiki wa Twitter na JF hamna mpiga kura hata mmoja
 
Mikoa mingapi imesema?

Mbowe anashughulika na wapiga kura huku Lissu akishughulika na mashabiki.

Kwani Mbowe angeamua kualika wa watu waseme si tungechanganyikiwa tumsikilize nani?. Wakuu wa Kanda na Mikoa wote wanamtaka Mbowe. Wewe huogopi?
Wakuu wa kanda ni wangapi? Unajua kanda zipo ngapi?
Wanaotoa matamko ya kumuunga mkono Lissu ni wajumbe wa mkutano mkuu wa mikoa
 
Lissu hakamatiki
 
mbowe lazima atashinda.
yule atasaidiwa na wale waliomtuma agombee, tayari watu wao Mawakala wengi Sana wameshapenyezwa ndani ya chadema. lisu awe makini, hataamini macho yake asipokuwa mwangalifu.
 
Mbowe asiposhinda ataondoka na chama chao.
 
Mbowe ana mademu wengi BAWACHA, kura zake anazitegemea huko
 
Ni Wenje,Ntobi na yule makari hodari na mkulima mahiri wa bamia kimataifa mkuu.
 
Kijana, Jabari Mbowe hajaanza siasa jana kama hao .jamaa zako kila kukicha ni kubwabwaja as if matamko ndiyo idadi ya kura.
 
Kwa taarifa Yako tu ni kwamba lissu ni mshamba mnoooo kwa mbowe. Umeona mbowe anapata shida kama huyo artificial chiba wenu?!! Hamjui siasa, nyie subirini kukasirika, kufanya fujo na kuhama Chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…