Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Leo ulikuwa maeneo ya Chalinze.
Tumesimama tangu asubuhi hadi muda huu gari haziendi kisa Mwenge!
Wanafunzi wamekatishwa masomo yao wapo wamejipanga mistari hapo kushuhudia Mwenge!
Tunaanzaje kupona na hii Corona?
Wagonjwa wangapi wameathirika kutokana na kucheleweshwa na misafara ya Mwenge?
Uchumi kiasi gani umeathirika kutokana na watu kucheleweshwa na msafara wa Mwenge?
MAONI YANGU
SASA TUSEME IMETOSHA . TUUHIFADHI MAKUMBUSHO.DUNIA YA LEO NI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
AU LA KAMA BADO NI MUHIMU BASI, Namna ya utekelezaji wa hili zoezi lipitiwe upya ili lisiathiri shughuli za wananchi wengine wasio na hatia yoyote.
LAKINI LA PILI ,NAOMBA MNIPE DARASA DOGO HAPA NAAMINI MPO WAHUSIKA WA MWENGE.
Kuhusu ule ulinzi wa Mwenge,!! Kinacholindwa ni huo Mwenge au ni kipi kinacholindwa hapo hadi kusababisha magari yapaki pembeni?
Kama nitakuwa nimekosea mahali basi mnikosoe kisha mnirekebishe .
TUEPUKE MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA.CORONA INATISHA.AHSANTENI
Tumesimama tangu asubuhi hadi muda huu gari haziendi kisa Mwenge!
Wanafunzi wamekatishwa masomo yao wapo wamejipanga mistari hapo kushuhudia Mwenge!
Tunaanzaje kupona na hii Corona?
Wagonjwa wangapi wameathirika kutokana na kucheleweshwa na misafara ya Mwenge?
Uchumi kiasi gani umeathirika kutokana na watu kucheleweshwa na msafara wa Mwenge?
MAONI YANGU
SASA TUSEME IMETOSHA . TUUHIFADHI MAKUMBUSHO.DUNIA YA LEO NI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
AU LA KAMA BADO NI MUHIMU BASI, Namna ya utekelezaji wa hili zoezi lipitiwe upya ili lisiathiri shughuli za wananchi wengine wasio na hatia yoyote.
LAKINI LA PILI ,NAOMBA MNIPE DARASA DOGO HAPA NAAMINI MPO WAHUSIKA WA MWENGE.
Kuhusu ule ulinzi wa Mwenge,!! Kinacholindwa ni huo Mwenge au ni kipi kinacholindwa hapo hadi kusababisha magari yapaki pembeni?
Kama nitakuwa nimekosea mahali basi mnikosoe kisha mnirekebishe .
TUEPUKE MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA.CORONA INATISHA.AHSANTENI