EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hili ni kanisa lililoporomoka juzi kutokana na mvua kubwa iliyokuwa na upepo mkali. Iwapo wangekuwa wanasali siku hiyo kungetokea maafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni kanisa lililoporomoka juzi kutokana na mvua kubwa iliyokuwa na upepo mkali.Iwapo wangekuwa wanasali siku hiyo kungetokea maafa
View attachment 2587194
Sijui,kama ipo iwe inafanya kaziKwani ni mamlaka gani inayohakiki ubora wa majengo?
Hakuna mamlaka duniani inayoweza kuhakiki nyumba ya Mungu, kilichotokea ni Mungu aliamua kuwaonesha njia ya majaribu.Hili ni kanisa lililoporomoka juzi kutokana na mvua kubwa iliyokuwa na upepo mkali.Iwapo wangekuwa wanasali siku hiyo kungetokea maafa
View attachment 2587194
Aisee,we mzima?!?!?Hakuna mamlaka duniani inayoweza kuhakiki nyumba ya Mungu, kilichotokea ni Mungu aliamua kuwaonesha njia ya majaribu.
Kwani ni mamlaka gani inayohakiki ubora wa majengo?
Wataalam wa seriksli? Ndio kazi yao but hawako makini zaidi rushwa tuHili ni kanisa lililoporomoka juzi kutokana na mvua kubwa iliyokuwa na upepo mkali.Iwapo wangekuwa wanasali siku hiyo kungetokea maafa
View attachment 2587194
Ludi nyuma shetani weHakuna mamlaka duniani inayoweza kuhakiki nyumba ya Mungu, kilichotokea ni Mungu aliamua kuwaonesha njia ya majaribu.
Kwa iyo bwana EvilSpirit (Roho ya kishetani) ulitaka watu wafeHili ni kanisa lililoporomoka juzi kutokana na mvua kubwa iliyokuwa na upepo mkali. Iwapo wangekuwa wanasali siku hiyo kungetokea maafa.