Ifike time, uitishwe Mdahalo kati ya Mwenyekiti wa CCM vs Mwenyekiti wa CHADEMA.

Ifike time, uitishwe Mdahalo kati ya Mwenyekiti wa CCM vs Mwenyekiti wa CHADEMA.

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam Tanganyika!

Issues nyingi zinaibuliwa wakati huu na zinaonekana ni za upande mmoja,

Na anayeibua HOJA nyingi ambazo hazipati majibu ni huyu Mwenyekiti mpya wa chama Cha upinzani TUNDU Lissu.

Sasa Kwa kuwa anayetakiwa kuzichambua ni mwananchi, ni muhimu wenyeviti Hawa wawili wakakutanishwa kwenye Mdahalo,

Likifanyika hili, wananchi watapata Uelekeo sahihi wa kuchukua kuelekea uchaguzi mkuu HOJA kuu zikiwa Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Nawasilisha!!
 
Mjadala ni muhimu Ili tuamue njia sahihi ya kuuendea uchaguzi mbele yetu.
 
Zamani ilikuwa kikosi maalum wanaenda ikulu ya wananchi kuonana na mhe. Rais hasa wakati wa Kikwete na mambo yalienda. Je rais hawapi ruhusa kumwendea Ikulu. Kwa nini kuzunguka Mbuyu. Nashauri kikosi Cha kitaifa kiundwe na TCD MMWENDEE RAIS IKULU kama atakataa ndipo baadaye mtakuwa na ushahidi kuwa rais alikataa na hivyo kurudi kwa wananchi watumie mamlaka ya ibara ya 8.
 
Salaam Tanganyika!

Issues nyingi zinaibuliwa wakati huu na zinaonekana ni za upande mmoja,

Na anayeibua HOJA nyingi ambazo hazipati majibu ni huyu Mwenyekiti mpya wa chama Cha upinzani TUNDU Lissu.

Sasa Kwa kuwa anayetakiwa kuzichambua ni mwananchi, ni muhimu wenyeviti Hawa wawili wakakutanishwa kwenye Mdahalo,

Likifanyika hili, wananchi watapata Uelekeo sahihi wa kuchukua kuelekea uchaguzi mkuu HOJA kuu zikiwa Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Nawasilisha!!
kibaka na tapeli wa kisiasa nchini si aligomea mdahalo, anautaka tena right?🐒
 
Back
Top Bottom