Ifike wakati adhabu ya viboko ifutwe mashuleni

Ifike wakati adhabu ya viboko ifutwe mashuleni

John Elia

Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
87
Reaction score
96
Africa nchi nyingi zimekuwa zikiamini fimbo katika suala la kifundisha watoto/ wanafunzi kwa miaka kadhaa sasa,
Tangu mkoloni aondoke Africa miaka inakaribia 100 sasa bado viboko vimekuwa vikiaminiwa kuwa ni adhabu kwa wanafunzi.

ifiike wakati sasa viboko vifutwe kwa kuwa jamii imebadilika sana kwa sasa, na pia kutumia viboko ni kama kuabudu wakoloni kuwa walikuwa sawa kipindi wanaitawala Africa ( mababu zetu kwa kutumia adhabu ya viboko na kumwendesha mwafrika kama mnyama.

NAOMBA serikali iliangalie hili kwani fimbo hazina tija kwa sasa kwani elimu inaweza kuwafikia watu wote bila ya fimbo kutumika.
 
Africa nchi nyingi zimekuwa zikiamini fimbo katika suala la kifundisha watoto/ wanafunzi kwa miaka kadhaa sasa,
Tangu mkoloni aondoke Africa miaka inakaribia 100 sasa bado viboko vimekuwa vikiaminiwa kuwa ni adhabu kwa wanafunzi.

ifiike wakati sasa viboko vifutwe kwa kuwa jamii imebadilika sana kwa sasa, na pia kutumia viboko ni kama kuabudu wakoloni kuwa walikuwa sawa kipindi wanaitawala Africa ( mababu zetu kwa kutumia adhabu ya viboko na kumwendesha mwafrika kama mnyama.

NAOMBA serikali iliangalie hili kwani fimbo hazina tija kwa sasa kwani elimu inaweza kuwafikia watu wote bila ya fimbo kutumika.
Without pain or fear there is no accountability in Africa
 
Kabla ya Ukoloni viboko / fimbo zilikuwa hazioti kwenye miti ? Nadhani kila shule ifundishe as it sees fit na wewe mzazi uwe na choice ya kupeleka au kutokupeleka mtoto wako huko...
 
Africa nchi nyingi zimekuwa zikiamini fimbo katika suala la kifundisha watoto/ wanafunzi kwa miaka kadhaa sasa,
Tangu mkoloni aondoke Africa miaka inakaribia 100 sasa bado viboko vimekuwa vikiaminiwa kuwa ni adhabu kwa wanafunzi.

ifiike wakati sasa viboko vifutwe kwa kuwa jamii imebadilika sana kwa sasa, na pia kutumia viboko ni kama kuabudu wakoloni kuwa walikuwa sawa kipindi wanaitawala Africa ( mababu zetu kwa kutumia adhabu ya viboko na kumwendesha mwafrika kama mnyama.

NAOMBA serikali iliangalie hili kwani fimbo hazina tija kwa sasa kwani elimu inaweza kuwafikia watu wote bila ya fimbo kutumika.
Kwa hiyo ndugu ukikuta mwanafunzi kamtongoza mkeo na kakamatwa na mwalimu wake akifanya hilo tukio apewe adhabu ipi badala ya viboko?
 
Mnataka kutengeneza watoto wa aina gani hawa wa afrika bila fimbo hawasomi
 
Eti fimbo zifutwe badala yake iwekwe mijeredi, watoto wanaopiga picha za uchi hawa zisipotembea utakuta siku wanachambana na madam
 
Back
Top Bottom