Ifike wakati Mbowe aache ukabila ona hawa Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa wanaomuunga mkono

Ifike wakati Mbowe aache ukabila ona hawa Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa wanaomuunga mkono

Na mwenyekit wa uchaguz wa leo anaitwa Raymond Mosha anayetokea BARAZA la wazee wanaosaimamia
 
Ndio maana tunataka kuondoa sura ya ukabila na ukanda chadema. Lissu ni Mnyaturu/mwahi (mmayuta) wa Singida, singida kusini (jimbo la singida mashariki) kanda ya kati. Cha ajabu hana ukabila wala ukanda, hakuna wanyaturu wala wakanda ya kati wanaomshadidia kwenye kampeni zake huko chadema, badala yake anaungwa mkono na taifa zima
 
Siku chadema ikipata mwenyekiti nje ya mbowe itakuwa imejikomboa rasmi .Itaungwa mkono nchi nzima na watu wa aina zote.Watu wengi hawana Imani na mbowe
Falsafa iliyopo Chadema mwanzilishi na muendelezaji ni Mbowe. Vyama vingine havina Mbowe na mbona havijajikomboa? Msione vyaelea, vimeundwa! Na Chadema imeundwa na Mbowe!
 
==
Mwl Nyerere aliwahi kusema mwanasiasa yeyote atakayeta kuchaguliwa kwa minajili ya kabila au dini yake huyo ni sawa na mwanasiasa mfu Mkataeni.

Leo Freeman Mbowe Mchaga wa Machame anaonesha kuigawa CHADEMA kwa minajili ya Ukabila,

Leo CHADEMA kuelekea Uchaguzi wake mkuu wenyeviti na Makatibu wa Mikoa wanaomuunga mkono ni Wachaga/wapare

Jana katika press yao ya kikabila iliyofanyika usiku wa manane wakiwa wamelewa chakali,

Mambo yalikuwa hivi,

Kwanza, aliyeongoza Press alikuwa Edward Kinabo ambae ni Mchagga.

Viongozi wengine waliohudhuria Press hiyo ya usiku wa manane ya kumuunga mkono Mchaga mwenzao majina yao ni kama ifuatavyo,

  • Mungure Arusha (Mmeru)
  • Bahweje Tanga (Mpare)
  • Mgonja Kilimanjaro (Mpare)
  • Kileo Kinondoni (Mchagga)
  • Ntobi Mkoa Wa X (Tweeter)
  • Gervas Katibu Manyara (Mkaskazini)
  • Aisha Madoga - Dodoma (Mmeru)
  • Kiloloma - Temeke (Mchagga)
  • Malisa - Morogoro (Mchagga)
  • Basil Lema - Kilimanjaro (Mchagga)
  • Mungai (Mkikuyu) Iringa
  • Masaga Karoli (Mnyaki mix Mchagga) Mwanza
  • Bumija - Pwani (Mpare)
  • Moza Ally Mushi - Hana cheo (Mchagga)

Bila kuwasahaun Devota Minja, Grace Kiwelu, Suzanna Lyimo, Lucy Ndesamburo hawa wote Wachaga hoja yetu ni kwanini Mbowe Leo anaungwa mkono na Wachaga tu kwani hiki chama nicha kikabila?

Wajumbe kesho kuweni makini hiki chama kimeuzwa tayari ndio hizo mnagawiwa.

====
Wewe si umchague Mnyaturu Lisu kwani shida ipo wapi
 
Back
Top Bottom