The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Umeona eehNaona huku kila mtu akimkubali msanii basi atataka kuuaminisha umma wote kuwa msanii huyo ni bora zaidi.
Hivi nani anae manage shughuli za mauwa samaKweli tatizo hana management yenye nguvu
Wewe haujui mziki ni shabiki wa team za wasanii so shut upBest female musician bongo.......!! Sasa bongo tumeishiwa kweli hawa female musician..... yaani na huyu anawazwa kuwa...!!!
unataka nimtete dada yako siyo? Basi sawaWapi kumtetea mwanaume mwenzako hiyo ni umelogwa unahitaji maombi mazito.
Mwingine akimkubali sijui nandy analeta tena uzi.Umeona eeh
Hata lebel yake haijulikani huwa anaonekana studio kwa kimamboHivi nani anae manage shughuli za mauwa sama
Dada yangu haitakiwi umsifie kwa maana anajiamini haitaji kiki zakijinga kama zako.unataka nimtete dada yako siyo? Basi sawa
Shida sio lebo shida nikuchana tukakuelewaHata lebel yake haijulikani huwa anaonekana studio kwa kimambo
Nani zuchu au maua samaHuyo mtoto huwa 'nammezea mate' sana.
Inaonekana hajatumika sana huyo binti.
Maua sama siku hizi anapoteza ladha, amesahau kilichomtoa kimuziki kuwa ni kuimba mapenzi na sio kuimba ngono. Sikuizi anapenda sana kuimba ngono mpaka nahofia ameshakuwa kahabaHuyu dada hajawahi kukwama kwenye kutoa ngoma kali zenye ujazo na ujumbe conki huku zikiambatana na beats kali na melody classic. Sio kuwajaza misifa akina zuchu kila uchwao kwa promo za kuforce
Duuh hii ngoma mpya ya Can dance inanipa burudani sana pande hizi za bukoba mjini hongera sana maua sama