Ifm kubandika selectn zao»»»

Ifm kubandika selectn zao»»»

Gerald shayo

Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
32
Reaction score
3
Ifm wamebandka selectn zao hii ni valid issue kama uliaply jarib kuchek na m2 unaemjua anaxoma pale
 
hawaja 2pia kwenye web yao bt wamebandka kwenye notc bod yao! Habar nimepenyezewa na matron wa ifm n m2 mzma hawez nidanganya!
 
hawajabadika ya undrgraduate bado yaliyo kwny site ndo yaliyobandikwa...frm 1 of ifm student
 
Uongozi wa Chuo wanafikiria kwamba wapo kwenye karne ya 18 au 19? Kwa nini wasiweke kwenye website ya chuo?. Bado uongozi wanamambo ya kizamani.
 
xor wana jamvi kumbe wambebandika selectnz za masterz 2012/2013 wameweka kwenye web yao! Xo xor pipo!
 
Back
Top Bottom