Ifm mwaka wa kwanza tunarnda lini?????

Ifm mwaka wa kwanza tunarnda lini?????

donMramba

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
250
Reaction score
42
HIVI WAKUU IFM MWAKA WA KWANZA TUNARIPOTI LINI NA PIA NYIE WENGINE MNAFUNGUA LINI?(MWAKA WA PILI NA WENGNE):A S-key:
 
me naenda chuo kesho kuulizia alafu ntakujibu ntakachoambiwa
 
OK, kwa kawaida itakua around 10 oct ila kwa mwaka wa pil ni 30sept na regratn dedline yao ni 14oct.. ila watatoa tareh sahihi hv punde so kua mvumilivu kiduchu......karibu sana IFM
 
OK, kwa kawaida itakua around 10 oct ila kwa mwaka wa pil ni 30sept na regratn dedline yao ni 14oct.. ila watatoa tareh sahihi hv punde so kua mvumilivu kiduchu......karibu sana IFM

Hujasomapo nini? Kawaida mwaka wa kwanza ndo uwaga wanatangulia na wanatakiwa chuoni trh 15 au 16 na mwaka wa pili na kuendelea ni tarehe 21/10
 
HIVI WAKUU IFM MWAKA WA KWANZA TUNARIPOTI LINI NA PIA NYIE WENGINE MNAFUNGUA LINI?(MWAKA WA PILI NA WENGNE):A S-key:

usijishaue hapa, ambao temepangiwa IFM tushatumiwa sms ktk cm zetu kuhusu hiyo kitu...😛
 
Congratulation from IFM.
You have been selected to join IFM for your Bachelor degree course. Registration will start on 16th September 2013 for privately sponsored students. For HESLB sponsored students Registration will open from 15th October 2013. For more information visit Home - The Institute of Finance Management or come to the admissions office at IFM.
 
mwaka wa pil nakuendelea wanafungua chuo tareh 30sept..mwaka wakwanza wata2kuta chuo.oct so acha ratba zako za enz za advanced diploma...
 
Hujasomapo nini? Kawaida mwaka wa kwanza ndo uwaga wanatangulia na wanatakiwa chuoni trh 15 au 16 na mwaka wa pili na kuendelea ni tarehe 21/10

nasomapo had sasa..mwaka wa 2 nakuendelea wanafungua chuo 30sept mwaka wa1 wata2kuta oct....so acha ratiba zako za enzi za Advanced Diploma....
 
nasomapo had sasa..mwaka wa 2 nakuendelea wanafungua chuo 30sept mwaka wa1 wata2kuta oct....so acha ratiba zako za enzi za Advanced Diploma....

Usinibishie kijana sababu hujui hata unabishana na nani sawa? Tunafungua chuo october 21 sababu ya ucheleweshaji wa hela za mikopo wewe ndo unakuja kuanza mwaka wa kwanza tulia sisi wakubwa zako tukufunze. Hujui hata mazingira ya shule unajifanya unajuuuuuua. Hujui kitu aloo usinibishie.
 
asanteni woote,nimepata majibu ya nilichokitaka
 
Usinibishie kijana sababu hujui hata unabishana na nani sawa? Tunafungua chuo october 21 sababu ya ucheleweshaji wa hela za mikopo wewe ndo unakuja kuanza mwaka wa kwanza tulia sisi wakubwa zako tukufunze. Hujui hata mazingira ya shule unajifanya unajuuuuuua. Hujui kitu aloo usinibishie.

ckiliza we mzee kwa mwaka wa 2 nakuendelea chuo kina funguliwa tarehe 30 sept na regstratn kuanza had tareh 15 oct ambayo ndio tareh ya kuanza kwa masomo kwa mwaka wa 2 na 3...hao wa mwaka wa kwanza ndokama tangazo hapo juu linavyo jieleza...kama una bisha kunatangazo kwenye notes body..mbele ya TH-A naomba kasome..k..@..z...
 
ckiliza we mzee kwa mwaka wa 2 nakuendelea chuo kina funguliwa tarehe 30 sept na regstratn kuanza had tareh 15 oct ambayo ndio tareh ya kuanza kwa masomo kwa mwaka wa 2 na 3...hao wa mwaka wa kwanza ndokama tangazo hapo juu linavyo jieleza...kama una bisha kunatangazo kwenye notes body..mbele ya TH-A naomba kasome..k..@..z...

Sa huoni hapo unajishitaki mwenyewe kama Masomo yanaanza tarehe 15 si inamanisha ndo tunafungua chuo ama
 
Back
Top Bottom