Una maana gani unaposema " NON DEGREE PROGRAMMES"?.... Fanya uchunguzi uje na taarifa sahihi.IFM sio chuo kikuu kwa taarifa yako....hiyo ni INSTITUTE au taasisi tu..inatoa NON DEGREE PROGRAMMES...ukisoma pale elimu yako haitambuliki kwa kiwango cha degree ULIMWENGUNI,,kama unabisha kisome kitabu cha T.C.U kurasa za mwanzo mwanzo kabla ujaingia kwenye mabainisho ya couz za vyuo...USIKONDE PIGA MSULI TU,,,,ata mwana FA alisoma hapo...BEST WISHES,,,KARIBU UDSM
SIO CHUO 100%...IFM inatoa non degree education,,elimu yake haitambuliki kimataifa,,,soma kijitabu cha T.C.U kuna vyuo lukuki tu ambavyo vinatoa nono degree levels lakin watu waliviomba bila kujua,,,KARIBU UDSM
huyo jamaa nimemsoma ni sawa na anawaza kwakutumia masaburi hawazi mbali ana urojo kichwani na inawezekana kabisa hata boss wake ametoka kwenye hivyo vyuo anavyovidharau
mi namshangaa sana.kwan ukienda kuomba kazi unaulizwa ulisoma chuo gan au unaangaliwa kiwango chako cha elimu?!!kama wewe ni bosi ktk kampun fulan so utashindwa kumuajiri muhitimu wa ifm??? jaman tuachen UJINGA.TUONGEENI KAMA WASOMI.
Huu mjadala wa chuo gani kizuri na kipi kibaya unachekesha sana. Binafsi nimesoma Tumaini na nilianza kazi pamoja na vijana wenzangu wengi tu kutoka hivyo bora vilivyotajwa hapo ju na mmoja wetu (UDSM, Mzumbe). Sina undgu na bosi yetote pale ila kwakujituma, hivi sasa mimi ni bosi wa wale vijana wenzangu tulioanza kazi pamoja. Je, niidharau degree yangu kwasababu inatoka Tumaini? Hivi, nikipata First Class ya Tumaini au IFM au SAUTI nitakuwa sawa na aliyepata Gentleman ya UDSM/Mzumbe/etc? Hivi sasa ninapokea wanafunzi wengi kutoka vyuo hivyo Havard za Tanzania na wengine kutoka vile ambavyo wenzetu mliobarikiwa mnaviita Vya Kata na kusema kweli wapo wanaonielewa haraka na wapo wasioelewa kabisa japo wanatoka vyuo vyote. Je, mchango wa chuo alichosoma mtu hapa ni upi katika utendaji kazi wake? Je, tumefikia kiwango cha kuwahukumu watu kwa vyuo walivyopitia? Hatuoni kuwa tunawakatisha tamaa wale wanaowekeza katika elimu? Binafsi ninaamini kuwa UDSM kumejaa walimu wengi sana na wenye good qualifications ila wengi wao wamekuwa wanasiasa. Kwa ujumla, walimu wengi, haswa ktk vyuo vyenye majina kama UDSM, siku hizi hawafundishi kutokana na kukata tamaa na ugumu wa maisha. Wanachangamkia zaidi projects za research. Tusidanganyane, hakuna chuo ambacho ni kizuri katika kila fani na hakuna chuo ambacho ni kibovu katika fani zote. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. IFM ni chuo kizuri kwa wanafunzi wanaokwenda kusoma na kibovu kwa wanafunzi wanaokenda kutalii. A bad writer always blames his/her pen!
hakia mungu akili yako ni sawa na mkojo wa asubuhiacha kujitia moyo wewe..kama unasoma ifm jua kuwa umepotea...afadhali kidogo ungekuwa unasoma tia au iaa ningekuelewa na wala sio ifm..kama unataka kujua ifm wanachaguliwaga wanafunzi wa aina gani nenda kwenye kitabu cha tcu kaangalie cut-off points zao utaona na utajua kuwa ifm wanaendaga wanafunzi waliopata ngapi form 6!!!! Usibishane kitu kama uwezo wako wa kujua mambo mdogo
hiyo akili yako hata ukiisugua na stiliwaya haitangaa kamwe hebu jibu hili 2+2= ?ile ni institute na weng wanaoenda pale full ubishoo af na pepa zao very simple na best angu yupo pale yaan cjaanza chuo ila maswali nilijibu karibu yote had yeye alishangaa akaniona najua kumbe hakuna kitu pepa yenyewe easy af watu kibao kuna facult inaitwa social protection wamepelekwa na tcu wakat hawakujaza na co wa 2ndround......kielimu ifm ipo chini aisee co kama udsm.sua.mzumbe etc