ifm ni institute of finance management...na inatoa degree..watu hawaji IfM coz hawana ubavu wa ku-survive pale...elim ya pale ni ngumu hata maprofesa wanalijua hilo...pale huwezi survive kwa miaka 3 kama ni mbulula...na kama ukifanikiwa kumaliza afu huna kitu kichwan bas ujue utaishia kwenye GPA ya pass...huo ndo ukweli na ndo mana watu hawathubutu kuomba...watanzania wanapenda mteremko na ifm hamna mteremko
we ndo unajidanganya...Average ni 40% ndio lakni mziki wa pale si wa kitoto...vilaza kama nyinyi ndo mnaiponda...pale kichwa maji huwezi kuishi
wengi wametupwa computer science hapo ifm na hiyo unatka kusema sio course...?
endelea kujidanganya hivyohivyo
MBUZI KASORO MKIA WEWE NDIE KICHWA MAJI UNAELIA NA AVERAGE YA 40%! IFM HAMNA MZIKI WOWOTE MNATUNGIWA MITIHANI AMBAPO HAMJAFUNDISHWA?? , NYAMAZA KIMYA HUONI HATA AIBU KUSEMA SHULE NGUMU HALAFU AVERAGE NI 40%, , C YA Ifm ni d ya MUCCoBS &SUA, B YA ifm ni C YA MUCCoBS
haha hujielewi...uhondo wa ngoma ingia ucheze...tukienda field huwa wanashukuru cz kazi zote tunafanya bila hata kuelekezwa ..hahah wivu na uskute ulisha disko ndo mana unaponda
MBUZI KASORO MKIA WEWE NDIE KICHWA MAJI UNAELIA NA AVERAGE YA 40%! IFM HAMNA MZIKI WOWOTE MNATUNGIWA MITIHANI AMBAPO HAMJAFUNDISHWA?? , NYAMAZA KIMYA HUONI HATA AIBU KUSEMA SHULE NGUMU HALAFU AVERAGE NI 40%, , C YA Ifm ni d ya MUCCoBS &SUA, B YA ifm ni C YA MUCCoBS
wewe huna akili mtu apelekwe kozi ambayo hajachagua ni sahihi kweli?? Ila hii ni kutokana na taasisi hii kutokuwa makini
kweli mwendawazim mwendawazim tu...ivi kweli unalinganisha ifm na Muccobs?bora ungesema mzumbe ningekuelewa kaka...
wewe huna akili mtu apelekwe kozi ambayo hajachagua ni sahihi kweli?? Ila hii ni kutokana na taasisi hii kutokuwa makini
ifm ni taasisi sio chuokikuu