Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 535
Hongereni sana kwa kuchaguliwa chuo cha usimamizi wa fedha, chuo hiki kipo katikati kabisa ya jiji la Dar es salaam, kipo mkabala na Jumba la makumbusho ya taifa.
Taaluma.
Chuo kwa asilimia kubwa kinajitahidi kutoa elimu bora kuwaandaa wanafunzi kuhudumia jamii inayowazunguka katika science related fields (computer science & IT) na Finance related fields ( Banking, Accounting, Insurance e.t.c), facilities za kujifunzia zipo za kutosha kama lecture theatres, lecturers, tutors, library, computer labs na lecturers Handouts, ushindwe wewe tu. Hapa wanafunzi wengi hujisahau katika masomo yao kwasababu ya starehe nyingi because chuo kipo karibu na kumbi maarufu za starehe kama Savanah, club Billicanas, Samaki Samaki Posta na zinginezo, hivyo wanafunzi hujikuta karibu siku zote za week wanahudhuria kustareheka na kwa hili hujisahau katika taaluma na kupelekea kufeli mitihani yao.
Accomodations.
Chuo kina Hostel hapo hapo campus ila hazitoshelezi kuwachukua wanafunzi wote hivyo wadau mbalimbali wamejenga hostel nyingi tu eneo la Kigamboni, hivyo ikitokea umekosa Hostel Campus Kigamboni pia panakuhusu, yapo maeneo mengine ambako unaweza kupanga chumba kama magomeni na Kinondoni ila shida ya huko ni usafiri kama mnavyojua hali ya usafiri jijini, Ila kigamboni ndio mpango mzima kwani huko haina haja ya kupanda gari ni Tsh.400 tu sa kivuko kwenda na kurudi.
Meals.
Chakula kinapatikana katika canteen iliyopo chuoni kuanzia bei ya Tsh.800, pia kuna maeneo mengine nje ya chuo waweza kupata chakula kwa bei ya Tsh.1500 na kuendelea..kwa wale wenye nazo mnaweza kula katika migahawa standard ambapo chakula ni Tsh.5000 na kuendelea kama Steers, na mingineyo iliyopo Posta.
Wale wa Kigamboni huku mambo super tu kama umepanga geto unaweza kuwa unajipikia kuepuka gharama, pia vyakula vya kununua,sio gharama.
PRECAUTION.
IFM kuna wasichana wazuri sana mapaja nje nje hivyo ni wewe tu kuwa makini kwani mitandao ya ngono ni deep sana...lecturers wanajisevia, mapedeshee wa town ndio sehemu yao pale. Hivyo ni vema ukaenda kutafuta kilichokupeleka kwani utaratibu wa taaluma umebana sana IFM usipokuwa makini utadisco semister ya kwanza tu.
All in all karibuni sana chuoni IFM Shaban Robert Road, karibuni sana tuvuke maji kuelekea Kigamboni.
For more clarification do not hesitate to PM me.....
Taaluma.
Chuo kwa asilimia kubwa kinajitahidi kutoa elimu bora kuwaandaa wanafunzi kuhudumia jamii inayowazunguka katika science related fields (computer science & IT) na Finance related fields ( Banking, Accounting, Insurance e.t.c), facilities za kujifunzia zipo za kutosha kama lecture theatres, lecturers, tutors, library, computer labs na lecturers Handouts, ushindwe wewe tu. Hapa wanafunzi wengi hujisahau katika masomo yao kwasababu ya starehe nyingi because chuo kipo karibu na kumbi maarufu za starehe kama Savanah, club Billicanas, Samaki Samaki Posta na zinginezo, hivyo wanafunzi hujikuta karibu siku zote za week wanahudhuria kustareheka na kwa hili hujisahau katika taaluma na kupelekea kufeli mitihani yao.
Accomodations.
Chuo kina Hostel hapo hapo campus ila hazitoshelezi kuwachukua wanafunzi wote hivyo wadau mbalimbali wamejenga hostel nyingi tu eneo la Kigamboni, hivyo ikitokea umekosa Hostel Campus Kigamboni pia panakuhusu, yapo maeneo mengine ambako unaweza kupanga chumba kama magomeni na Kinondoni ila shida ya huko ni usafiri kama mnavyojua hali ya usafiri jijini, Ila kigamboni ndio mpango mzima kwani huko haina haja ya kupanda gari ni Tsh.400 tu sa kivuko kwenda na kurudi.
Meals.
Chakula kinapatikana katika canteen iliyopo chuoni kuanzia bei ya Tsh.800, pia kuna maeneo mengine nje ya chuo waweza kupata chakula kwa bei ya Tsh.1500 na kuendelea..kwa wale wenye nazo mnaweza kula katika migahawa standard ambapo chakula ni Tsh.5000 na kuendelea kama Steers, na mingineyo iliyopo Posta.
Wale wa Kigamboni huku mambo super tu kama umepanga geto unaweza kuwa unajipikia kuepuka gharama, pia vyakula vya kununua,sio gharama.
PRECAUTION.
IFM kuna wasichana wazuri sana mapaja nje nje hivyo ni wewe tu kuwa makini kwani mitandao ya ngono ni deep sana...lecturers wanajisevia, mapedeshee wa town ndio sehemu yao pale. Hivyo ni vema ukaenda kutafuta kilichokupeleka kwani utaratibu wa taaluma umebana sana IFM usipokuwa makini utadisco semister ya kwanza tu.
All in all karibuni sana chuoni IFM Shaban Robert Road, karibuni sana tuvuke maji kuelekea Kigamboni.
For more clarification do not hesitate to PM me.....