IFM the best place to be...Wale mliochaguliwa IFM someni hapa.

IFM the best place to be...Wale mliochaguliwa IFM someni hapa.

Vyema mwakumbushe pia ndo chuo kinachoongoza kwa UKIMWI
 
That is good news! inawezekana bado utakuwepo lakini ule wa hali ya chini.. hii ni mbaya sana, sasa mwalim akitembea na mwanafunzi anataka aitwe nani "mwalim au honey" !!!!

The important thing kama kuna mwalimu kafukuzwa kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia then the message has been sent na hao walimu itabidi wajiheshimu!!!
 
Nilibahatika kusoma chuo cha mahakama wakati nipo pale tulikuwa tumawadisa sana watu waliokuwa wanasoma vyuo vyengine kwa ngazi ya diploma na cheti

Tulijiona sisi ndio bora kuliko wengine, nilipomaliza ndio nikaja kugundua hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya chuo ulichosoma na upatikanaji wa ajira

Safi sana uwape darasa hawa watu......wengi wao wanajiita wasomi ila hawajaelimika....namna hii watashindwa hata kuendesha familia zao vizuri sababu ya dharau na majivuno yao
 
Wewe unasoma DUCE wewe,ingekua main campus we mbwa tungekoma humu ndani na Baed yako ---- ww

hahaaaaaa,nani anasoma Baed ww dogo pale DUCE,au umeona nmecomment sehemu ya DUCE,unajua ngoja nkwambie dogo kuwa mm najua UD vizuri pamoja na matawi yake(DUCE$MUCE) so kila eneo lililotajwa hapo lazima nicomment kwa sababu vitu vyote vinavyoendeshwa main campus ni sawa na DUCE na MUCE,afu naomba nitake radhi kuwa mm nasoma Baed pale DUCE,dogo ukikua utaacha ujinga wako
 
hahaaaaaa,nani anasoma Baed ww dogo pale DUCE,au umeona nmecomment sehemu ya DUCE,unajua ngoja nkwambie dogo kuwa mm najua UD vizuri pamoja na matawi yake(DUCE$MUCE) so kila eneo lililotajwa hapo lazima nicomment kwa sababu vitu vyote vinavyoendeshwa main campus ni sawa na DUCE na MUCE,afu naomba nitake radhi kuwa mm nasoma Baed pale DUCE,dogo ukikua utaacha ujinga wako

Wewe ni kilaza+....huna cha kunambia wewe boya wa DUCE
 
Wewe ni kilaza+....huna cha kunambia wewe boya wa DUCE[/QUOTE ndo maana unasoma chuo cha warembo,hapo IFM asilimia kubwa wanapiga mademu wetu wakali,hasa nashangaa unavyonisongasonga kama mwanamke,shut your mouth,nahisi unatabia za kike,ukikua utaacha ww dogo,kama ningekuwa kilaza nisingechaguliwa UDSM,ila ww ndo kilaza ndo maana umechaguliwa IFM chuo cha warembo waliopata matokea mabaya sana ya necta,so jiheshimu,ukinijbu tu nahisi nitakuwa bwana wako,na ukinyamaza kimya utakuwa umeniogopa.
 
Wewe ni kilaza+....huna cha kunambia wewe boya wa DUCE[/QUOTE ndo maana unasoma chuo cha warembo,hapo IFM asilimia kubwa wanapiga mademu wetu wakali,hasa nashangaa unavyonisongasonga kama mwanamke,shut your mouth,nahisi unatabia za kike,ukikua utaacha ww dogo,kama ningekuwa kilaza nisingechaguliwa UDSM,ila ww ndo kilaza ndo maana umechaguliwa IFM chuo cha warembo waliopata matokea mabaya sana ya necta,so jiheshimu,ukinijbu tu nahisi nitakuwa bwana wako,na ukinyamaza kimya utakuwa umeniogopa.

Wajameni punguzeni jazba sie sote ni Watanzania ya nini kulumbana.
 
Wewe ni kilaza+....huna cha kunambia wewe boya wa DUCE[/QUOTE ndo maana unasoma chuo cha warembo,hapo IFM asilimia kubwa wanapiga mademu wetu wakali,hasa nashangaa unavyonisongasonga kama mwanamke,shut your mouth,nahisi unatabia za kike,ukikua utaacha ww dogo,kama ningekuwa kilaza nisingechaguliwa UDSM,ila ww ndo kilaza ndo maana umechaguliwa IFM chuo cha warembo waliopata matokea mabaya sana ya necta,so jiheshimu,ukinijbu tu nahisi nitakuwa bwana wako,na ukinyamaza kimya utakuwa umeniogopa.

Ni hatari sana mwanaume kuongea mipasho aseee....usikariri ww IFM nimeichagua mwenyew na nimeipenda...wewe ukiwa na mademu zako ifm mi iyo hainihusu kilaza wewe pale naenda kutia kitabu tu hayo mambo ya kis.enge ki.senge mi usinambie WAKI ww
 
Jamanii, nyinyi watu wa Duce mnafatanini, au hamjaisoma title vizuri? Humu kuna wausu wana IFM tu. So acheni tabia za wanataarabu nyinyi... Au nenden mombasa coz ndo panawafaa
 
Acha utoto wewe! ukimwi na chuo vinahusiana nini? cha msingi ni kufuata kilicho kuleta mjini tu, mengine waachie wenyeji! degree ya IFM sio mchezo!
 
sorry mkuu, hivi upo kidato cha ngapi? maana inaoneka kuwa akili yako ipo very limited kunyumbua mambo. kwanza hujui halafu hujui kama hujui, mbaya zaidi unadanganya watu. ifm bado ni chuo bora tz.
 
Back
Top Bottom