IFM the best place to be

mchlmmnl2

Senior Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
168
Reaction score
54
Ni chuo cha usimamizi wa fedha. Hakika nichuo achacho kinatoa elimu bora kwani mambo yake mengi yapo"organised" Tangu kimeanzishwa mwaka 1972 under the Act of the parliament no 21 kimekua kikiboresasha huduma mbali mbali.
Taaluma yapale hakika ipo vizuri waalimu wanajitoa kufundisha kwa moyo wote.
Japo kua inawanafunzi wengi lakini chuo kinajitahidi kuweza kuhakikisha kila mmoja anapata haki yake ya elimu bora.
Kuhusu mitihani uliza wanafunzi wa IFM watakuambia. Mtu akihitimu IFM he is real the proffesional.
Hakika ni chuo namba moja Tanzania kwa taaluma ya fedha na uchumi
 
Hayo ni sahihi kabisa....ishu ni hilo jina lako sasa!
 
Kiko wapi?maana wengine hatukifahamu.
 
Mkuu ukisema n best unakuwa unapotea labda useme n miongon mwa,,,lete matokeo ya mitihan ya bodi za uhasibu na coz nyngne tuone kama uliyoyasema hapa yanaukwel
 
Mkuu ukisema n best unakuwa unapotea labda useme n miongon mwa,,,lete matokeo ya mitihan ya bodi za uhasibu na coz nyngne tuone kama uliyoyasema hapa yanaukwel

Katika mitihani ya NBAA miaka mi 3 mfululizo IFM is the best
 
wewe utakuwa mwaka wa 1 kama sio mwanafunzi wa cheti a.k.a certificate!! me nyie nawaitaga "CHUO KITAMU"
 
wewe utakuwa mwaka wa 1 kama sio mwanafunzi wa cheti a.k.a certificate!! me nyie nawaitaga "CHUO KITAMU"

Nimemaliza mwaka jana BAC pale IFM kipindi naomba kazi chuo kilikua kigezo cha mm kupata kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…