Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Hahaaa kweli tumetoka mbalii aisee.....uwiiii. ..utu uzima dawa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dena amsi[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] wakati si milele
 
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
Hivi hii ishu ilikuwa kweli au utani
 
2013 mpaka leo, hawa wote wameshakuwa wakubwa sasa.[emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…