Igeni hapa sasa warembo muone mtakavyochekesha

Igeni hapa sasa warembo muone mtakavyochekesha

malisoka

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,860
Reaction score
2,636
Rihanna akiwa katika mavazi yake.

Dada zetu Mkiiga haya hakika tutachukua bakora na kuwatandika mabarabarani.

Hakuna haki kama hii Tanzania.


14262735_342721422736765_482507099_n-1496258936934-e1498745780186.jpg
 
Lakini sidhani kama huyo Rihanna yupo barabarani hapo.
 
vazi hili litaanzia kumbi za starehe mdogo mdogo hadi mtaani
 
Lakini sidhani kama huyo Rihanna yupo barabarani hapo.

wanawake wetu hawana akili hiyo Yeye Rihanna yupo kwenye show na wakati huo huo yupo kwenye matangazo ya hayo mavazi.

lakini utashangaa hawa wanawake wetu wa Bongo watakuja kutuvalia makanisani!
 
huhu mwanamke 'ulembo' sipatii picha avae mtu na shape nzur !atapendeza kuliko rir
 
Hujapita kwenye kumbi za starehe nyakati za usiku...

Mbona hapo cha mtoto...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom