Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Kabla ya Corona, walikuwa wanakufa wangapi kwa upumuaji huko Germany kwa siku, na sasa wanakufa wangapi kwa siku kwa magonjwa ya upumuaji?Tumshukuru mungu Tanzania ni joto, nchi zingine bado watu wanakufa. 24 hrs watu 53 wamefariki Germany
Hii isidingo ya corona mbona kama vile imefika tamati bila wadau kupewa taarifa rasmi?
Zile mbwembwe za machanjo na mabarakoa zimeishia wapi?
Ati ooh watu watakufa kama kumbikumbi sijui nini! Kiko wapi?
Bado kitambo kidogo tutajua tu ukweli wa hii movie ya kihindi.
Siku hizi sioni tena mabarakoa yakivaliwa?
Tumshukuru mungu Tanzania ni joto, nchi zingine bado watu wanakufa. 24 hrs watu 53 wamefariki Germany
Corona sio upumuaji tuu, magonjwa yako mengine ndio yamakuua, mfano moyo, kisukari.Kabla ya Corona, walikuwa wanakufa wangapi kwa upumuaji huko Germany kwa siku, na sasa wanakufa wangapi kwa siku kwa magonjwa ya upumuaji?
Sasa mtu afe kwa kisukari, afe kwa ugonjwa wa moyo, halafu mseme ni Corona?! Kwanini msimseme kafariki kwa kisukari? Au huyo mgonjwa haingizwi kwenye takwimu za kisukari? Au anaingizwa kwenye takwimu zote 2?Corona sio upumuaji tuu, magonjwa yako mengine ndio yamakuua, mfano moyo, kisukari.
Sababu wanapima coroma unapokuwa na dalili tuu, hivyo baadae magonjwa mengine yanapoanza kukutafuna, wanakuwa wanajua chanzo. Ni kama ukimwi, gonjwa mmoja litakukamata mpaka unakufaSasa mtu afe kwa kisukari, afe kwa ugonjwa wa moyo, halafu mseme ni Corona?! Kwanini msimseme kafariki kwa kisukari? Au huyo mgonjwa haingizwi kwenye takwimu za kisukari? Au anaingizwa kwenye takwimu zote 2?
Subiri kwanza tumalize vita ya Urusi ndo turudi kuupdate corona yetu toleo jipya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii isidingo ya corona mbona kama vile imefika tamati bila wadau kupewa taarifa rasmi?
Zile mbwembwe za machanjo na mabarakoa zimeishia wapi?
Ati ooh watu watakufa kama kumbikumbi sijui nini! Kiko wapi?
Bado kitambo kidogo tutajua tu ukweli wa hii movie ya kihindi.
Siku hizi sioni tena mabarakoa yakivaliwa?
Duh.Tulia tulambe asali wewe
Huu ugonjwa ukiwa mjanja utalamba asali sanaaa
Wacha wee!24 hrs watu 53 wamefariki Germany
tumepoteza watu wengi kwa corona.