Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
- Thread starter
- #21
Ajenda za kiibilisi sana.Corona imeisha baada ya ajenda yao kutimia idadi ya watu waliowataka kutimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajenda za kiibilisi sana.Corona imeisha baada ya ajenda yao kutimia idadi ya watu waliowataka kutimia
Putin mwenyewe ndio mkuu wa mashetani.Putin kaingilia mipango ya waabudu shetani
Watu wengi wangapi?
... unauliza swali ambalo ulitakiwa ujijibu mwenywe! Hujiulizi kwanini baada ya mdharau corona kuliwa kichwa; stern measures kuchukuliwa na successor tatizo limepungua kwa kiwango kikubwa? Corona kama ilivyo maradhi mengine ni kuchukua hatua na sio kutia dharau; inakugeuza wa mfano!Hii isidingo ya corona mbona kama vile imefika tamati bila wadau kupewa taarifa rasmi?
Zile mbwembwe za machanjo na mabarakoa zimeishia wapi?
Ati ooh watu watakufa kama kumbikumbi sijui nini! Kiko wapi?
Bado kitambo kidogo tutajua tu ukweli wa hii movie ya kihindi.
Siku hizi sioni tena mabarakoa yakivaliwa?
Nimewaza kwenye vita ukrane watu wanakimbia nchi msongamano hakuna anayepata korona, hapa tulipigwa[emoji16][emoji16]Kabla ya Corona, walikuwa wanakufa wangapi kwa upumuaji huko Germany kwa siku, na sasa wanakufa wangapi kwa siku kwa magonjwa ya upumuaji?
Wacha porojo bwana mdogo.Utajua mwenyewe, maswali mengine hayana mantiki yoyote
Swaumu njema
Hii isidingo ya corona mbona kama vile imefika tamati bila wadau kupewa taarifa rasmi?
Zile mbwembwe za machanjo na mabarakoa zimeishia wapi?
Ati ooh watu watakufa kama kumbikumbi sijui nini! Kiko wapi?
Bado kitambo kidogo tutajua tu ukweli wa hii movie ya kihindi.
Siku hizi sioni tena mabarakoa yakivaliwa?
Hawa wahuni waliotengeneza igizo la corona sio binadamu wa kawaida.Nimewaza kwenye vita ukrane watu wanakimbia nchi msongamano hakuna anayepata korona, hapa tulipigwa[emoji16][emoji16]
Porojo.Kauluze ndugu wa yule aliyekufa 17 March 2021.
Nchi za watu ndio zipi?Nchi za watu huko mzigo bado unasumbua
Oohh... i see!Mambo ya YUKRENI yameiua corona kifo cha kawaida "Natural death"
True ni baada ya ibilisi kupata hasara ya kupigwa kombora moja zito hatari sana akapoteza watendaji Kazi wake wengi kuzimu nae kwa hasira akaamua kurevenge duniani kwa kuleta corona Ili avune watu wengi ndani ya mda mfupi Sana kufidia watu wake waliokufa.Ajenda za kiibilisi sana.
Dah Kwa Hiyo Sasa Hivi Social Distance Inazingatiwa Sana... unauliza swali ambalo ulitakiwa ujijibu mwenywe! Hujiulizi kwanini baada ya mdharau corona kuliwa kichwa; stern measures kuchukuliwa na successor tatizo limepungua kwa kiwango kikubwa? Corona kama ilivyo maradhi mengine ni kuchukua hatua na sio kutia dharau; inakugeuza wa mfano!
Wameshatangaza Pandemic Imeisha?Wewe ulitaka iendelee mpaka lini? Kaulize ndugu na mashabiki wa yule aliyekufa 17 March 2021. Pandemic huwa ina mwisho wake. Na hii siyo ya kwanza. Ilikuwepo 1918, 1957... na ziliua watu wengi sana. Lakini mwishoe zilipita. Hii ya sasa imeua zaidi ya milioni 15. Kama wewe umesalimika mshukuru Mungu. Usijione bingwa sana. Tumezika ndugu wetu wengi sana. Wengine walizika usiku na serikali kama mbwa - Kivumishi Kielezi
Barakoa zimeuzika Sana Huku Kwetu Zilikuepo Za Vitenge.Corona nilijua tangu mwanzo ni kelele za wapigaji tu.
Magu alikuwa sahihi kuikata corona ila approach yake ilikuwa ya kishamba sana.Sio ajabu ika......
Corona ilikuwa biashara ya watu bilions of money generated.
Saivi huwasikii wakipiga kelele kuhus corona wamehamia ukraine wakitoka Ukraine watahamia sehemu ingine
Dunia inaendeshwa na matukia wanayoyapanga watu ukielewa hivyo unachill wala hupati shida.