Igizo la Corona limeishia wapi?

Ugonjwa wa matajiri ule ...ww masikini ukikupata hata kufa hufi ukifa basi jua ni bahati mbayà tu
 
Kuna watu humu hawajapotelewa na ndugu jamaa na marafiki ndio maana wanakua na viburi.
 
Put in ka end game hakuna tena story za kirusi,sasa ni story za ukraine na urusi zimejaa kifusi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…