Elections 2010 IGP atueleze zaidi

DICTATOR

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
391
Reaction score
4
Watu wa Intellijensia, JF wazalendo mimi nawewe watufanyia kazi tupate majibu. Ikibidi huyu jamaa IGP aweke wazi hilo jambo ili tuweze kupata majibu yaliyo sahihi. Vinginevyo nchi tunaipeleka kubaya zaidi..............
 
Aaah au macho yangu, naona kichwa cha habari na habari yenyewe imekaa kiudaku udaku vile.. ka vile nasoma Ijumaa au Uwazi vile
 
Mallaba, nijuavyo mimi, Karatasi za kura uchaguzi wa muungano ndizo zinazotoka Uingereza lakini zile za Uchaguzi wa Zanzibar, zinatoka Afrika Kusini.

Kunauwezekano ni kweli hilo hilo 40 ft contena ndio limeleta mzigo wa ZEC na ofisa TRA amesema kweli, polisi wameamua kufunika kwa vile njia hiyo waliyoitumia sio ile iliyopendekezwa na walitoa fedha zao. Inabidi wayamalize kuitu uzuma tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…