Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbowe anaagwa lini ?Jeshi la Polisi limetangaza kwamba IGP mstaafu ataagwa rasmi na Jeshi hilo kwenye hafla itakayofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Polisi Kurasini
Msemaji wa Polisi amewaambia Waandishi wa Habari kwamba sherehe za kumuaga Sirro ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nchini zimbabwe zitaanza saa 1 asubuhi kwa gwaride maalum .
Simon Sirro atakumbukwa milele kwa upelelezi wake kabambe kwenye sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji , pale alipotumia intelijensia kabambe na kukamata gari lililotumiwa na wale Wazungu wawili waliomteka MO
View attachment 2615927
Tunamtakia kila la heri .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kuagwa vipii??Nmeshtuka nikajua kuagwa vipi sijui
Khaaa ile kweli kibokoooJeshi la Polisi limetangaza kwamba IGP mstaafu ataagwa rasmi na Jeshi hilo kwenye hafla itakayofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Polisi Kurasini
Msemaji wa Polisi amewaambia Waandishi wa Habari kwamba sherehe za kumuaga Sirro ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nchini zimbabwe zitaanza saa 1 asubuhi kwa gwaride maalum .
Simon Sirro atakumbukwa milele kwa upelelezi wake kabambe kwenye sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji , pale alipotumia intelijensia kabambe na kukamata gari lililotumiwa na wale Wazungu wawili waliomteka MO
View attachment 2615927
Tunamtakia kila la heri .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Chini ya uongozi wake aligeuzwa kama mtoto wa chekechea na aliyepata kuwa RC wa DarJeshi la Polisi limetangaza kwamba IGP mstaafu ataagwa rasmi na Jeshi hilo kwenye hafla itakayofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Polisi Kurasini
Msemaji wa Polisi amewaambia Waandishi wa Habari kwamba sherehe za kumuaga Sirro ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nchini zimbabwe zitaanza saa 1 asubuhi kwa gwaride maalum .
Simon Sirro atakumbukwa milele kwa upelelezi wake kabambe kwenye sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji , pale alipotumia intelijensia kabambe na kukamata gari lililotumiwa na wale Wazungu wawili waliomteka MO
View attachment 2615927
Tunamtakia kila la heri .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Aiseeee !!!Chini ya uongozi wake aligeuzwa kama mtoto wa chekechea na aliyepata kuwa RC wa Dar
Akisha agwa, next afunguliwe mashtaka yanayohusu upotevu wa fedha za Polisi Tsh 4 Billion. Yeye ndiye aliyekuwa signatoryJeshi la Polisi limetangaza kwamba IGP mstaafu ataagwa rasmi kesho na Jeshi hilo kwenye hafla itakayofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam
Msemaji wa Polisi amewaambia Waandishi wa Habari kwamba sherehe za kumuaga Sirro ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nchini zimbabwe zitaanza saa 1 asubuhi kwa gwaride maalum .
Simon Sirro atakumbukwa milele kwa upelelezi wake kabambe kwenye sakata la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji , pale alipotumia intelijensia kabambe na kukamata gari lililotumiwa na wale Wazungu wawili waliomteka MO
View attachment 2615927
Tunamtakia kila la heri .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
DuuuhKichwa cha habari kimenishitua kweli kweli.
Na makamu wake jeMbowe anaagwa lini ?
USSR
Kinana aliagwa lini?Mbowe anaagwa lini ?
USSR
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kinana aliagwa lini?
Kinana alishaagwa,sema akarudi tena kibabe!!Kinana aliagwa lini?