IGP: Polisi tumejipanga (Sensa 2012)

Mnatupandisha hasira, sasa tuone. Sisi hatumgusi mtu, mkitugusa tu mtatumbua. Ulizeni nini kinaendelea syria. Sisi hatutaki kuandikishwa, hatuna ugomvi na mtu. Wallahi tukiwatangazia jihadi, mtatafutana. This time the Mwembechai history, will not repeat itself. Be warned. Tupo kiroho zaidi.
 
Wewe ndiyo jinga la majinga kweli...hivi wewe huna mama/dada/bibi/babu nk? unafikiri ukitangaza jihadi hao watu wako wa karibu wataishi kwa amani? sijawahi kuona...hivi hako ka jihadi ndiyo mnaona siifa? amakweli...
 

Kinachoendelea Syria ni kitu cha kusifia? Kumbe kwako Tanzania kuingia vita vya wenyewe ni fahari!! Ama kweli upumbavu ni kujitakia huoni thamani katika maisha ya binadamu ikiwa ni pamoja na wewe binafsi, ndugu jamaa na watanzania wenzako? Kwa kukuongezea ufahamu Mwanadamu ni kiumbe maalum aliye na dhamana ya uwajibikaji kwa jamii. Hayo uilyoandika yanafaa tu ikiwa wewe si mwanadamu. Sasa wewe uko katika kundi gani la vuimbe? Tafakari.
 
IGP Mwema, Police wanadhulumu sana wananchi kwa njia ya rushwa. Huwezi kumlinda raia na mali yake huku ukimdhulumu kwa kumbambikia kesi ili upate rushwa. Kilio cha watanzania wanaoonewa na kuuwawa na police ni kikubwa na kinaongezeka kila kukicha. Liangalie jambo hili kwa makini kabla hiki kilio hakijageka kuwa kitu kingine. Kusema mmejinga huku wananchi wakiumizwa na kuteswa vile sii kweli. Mnajipanga tu pale rushwa inaponukia na mko tayari kumwachia mhalifu aliyetoa rushwa na kumfunga ambaye hana kosa lolote lile. Jipangeni katika haki na ukweli na sii rushwa, uonevu, na mauwaji ya raia wema.
 

Tatizo lenu mmeleweshwa propaganda hata kufikiria vizuri hamuwezi. Syria wananchi wamekataa serekali. Serekali ikatoa vitisho na kuanza kamata kamata na kuua raia. Raia walianza na visu. Sasa wanalipua vifaru. Every single death will be avenged. Issue nikudharau raia na kutegemea jeshi. Kwa taarifa yako, jeshi hilo hilo tutalitumia sisi. Be warned.

 
Hizi ni akili za nyambafu kabisa...Mngejaribu ku invest kwenye elimu tu ndugu zangu, maana kichwa kimoja kilichoelimika ni zaidi ya vichwa 1000 vyenye MAJAMBIA...
 

Kwenye rangi ya bluu hapo natilia mkazo. Kumbe Padri Slaa aliposema nchi haita tawalika alikuwa na maana gani. Kama si hayo yanayofanana na Syria,Lybia,Afghanistan na Yaliyotokea Tunisia? :spy:

Nlitegemea wali watu ambao hawaitaki serikali ya kifisadi wangetuunga mkono kwenye MGOMO huu mpaka yale MATRILIONI YALIOPO USWIZI YARUDISHWE.
 
hizi ni akili za nyambafu kabisa...mngejaribu ku invest kwenye elimu tu ndugu zangu, maana kichwa kimoja kilichoelimika ni zaidi ya vichwa 1000 vyenye majambia...

Elimu ya NECTA. Tehe! Tehe! How long have you been changing muslims students results until today. Was it human error also. Wewe unafikiri kwanini nchi haindelei despite the natural wealth we have. Yaani hata kama tungutuma wataalam watoto wasinge saini mikataba ilio sainiwa na hao unaowaita wasomi under mfumo christo. Huna hata haya et invest katika elimu. Kwa fedha zipi. Za memorandum of undestanding. Kwanza mlitakiwa mfaulu kwa akili zenu wenyewe sio za kubebwa. Nyaambaafu.
 
Mimi ni mkristo na napinga sana uchafu unaotokea. Ufisadi chini ya serikali ya ccm haufanywi na wakristo tu, hata waislam wanaufanya.
Nikuulize swali. Wewe unatoa mchango gani kuibadilisha serikali iliyopo madarakani ili tuweze kupata serikali nyingine adilifu? Kwanini nyienyie mnaopinga mfumo kristo ndiyo mnahimizana misikitini muipigie kura serikali ya ccm ?
Hautakiwi ulalamike nyambafu mkubwa wewe kwa kitu ulichokiweka madarakani kwa sababu tu eti raisi ni Muislam. Kula matapishi yako mwenyewe na usilalamike sana na mfumo kristo.
Mmeshindwa kujipanga mnaanza kusingizia NECTA. Kila kitu mkishindwa mnatoa visingizio. NECTA hata ikiendeshwa na Shehe Issa Ponda mtalalamika tu kama mnavyolalamika sasa hivi wakati kiongozi mkuu wa nji ni Muislam. Nyinyi mmelaaniwa, ni watu wa mahangaiko, roho zenu hazina amani, shida tu...NJOO TUKUBATIZE UPATE AMANI YA KUDUMU.
 

Mlipo anza campaign za Kanisani tulitaka tu tuwaonyeshe wenye wadai uhuru tupo. Na sasa tuna muonyesha huyu kijana kwamba, THE MAKERS ARE NOT AFRAID TO BREAK. SASA KAMA SENSA YENU CHRISTO ITAFANIKIWA MIMI NITAKUTAFUTA UNIBATIZE. TEHE! TEHE! To make the conversation short, naomba unijibu swali hili ili nijue kiwango cha ulewa wako isije kua unakariri kila unacho ambiwa. Mpelekee na kiongozi wa kiroho akusaidie pia.

Swali.
1+1+1 = ?

(a)
2
(b)
1
(c) 3
 
Zoezi limeanza leo...tukutane likimalizika.
Ninachojiuliza tu ni kwamba, watu walioshindwa kukubaliana hata kuchagua kadhi mkuu, wataweza kufanikisha kitu chochote cha maana?Watu wanaotumikatumika kwa maslahi ya watu fulani, wataweza kufanikisha kitu cha maana?
Haya bana...tusubiri zoezi la sensa liishe halafu tufanye tathmini...
 

Now You are talking responsibly. HIKI KITU KATIKA DINI YETU SIO KIGENI. WANAFIKI WALIKUWEPO TANGU MWANZO WA UISLAMU, LAKINI HAWAKUWEZA KUUZIMA. LAZIMA UWELEWE INGEKUA UISLAMU SIO DINI YA HAKI NA KWELI, UKILINGANISHA NGUVU ZILIZO TUMIKA NA ZINAZO TUMIKA KUUPINGA, INGESHAFUTIKA DUNIANI. LAKINI MARK MY WORDS. DINI HII USIPO IPINGA INAKUA KWA KASI, NA UKIIPINGA INAKUA KWA KASI ZAIDI. NAKUULIZA HIVI NDUGU YANGU SWEKE34. JE WAISLAMU TUKISHINDA KIMTIHANI HIKI KIDOGO, UTAJIUNGA NAMI KATIKA DINI YA HAKI?
 

Asante sana kwa msaada, sababu nilikuwa najiuliza hawa jamaa wanalipi jipya kumbe hamna kitu, wameshindwa kwa asilimia kubwa sana kupambana na uhalifu na zaidi wamelazimika kuwajoin, hivi sasa Jeshi la polisi ndio hatarishi kwa usalama wa raia na mali zao wakiwa number mbili nyuma ya CCM.
 
Sensa yote kwa ujumla imeharibika. Tatizo serikali ya magamba ikishirikiana na watendaji wasiofuata buasara bali kujipendekeza wameharibu zoezi zima.

Mathalani kulikuwa na haja gani kuwalipa wabunge swote shilingi milioni 3 ili kuhamasisha sensa wakati tayari wanahela za kutembelea majimbo yao? 327 x 3000000=971 000 000milion for nothing!!!!!

Wakati wabunge wanalipwa huo mshiko bila shida; wakushanya takwimu hizo muhimu wengine hawajalipwa kabisa, wengine wemelipwa nusu nk

viongozi wa vitongoji ambao ndo watatembea na makarani hawaja lipwa mshiko (mfano mkoa wa simiyu)hakuna watakao watoa msaada wa kutosha.

mtaani kwetu makarani wote ni wakuja na webgi ni vijana kati ya miaka 20 na 22 hawaheshimiki kama walipokuwa wanawatumia walimu wa shule zilizomo kwenye kata yetu....

serikali imewakomoa walimu kwa kukata majina yao....kwani walimu wasaliti ndo wametumika kwenye hili zoezi hivyo wapinga sensa ili isifanikiwe ni baadhi ya waislamu na walimu wenye machungu ya kukatwa

dodoso nilizo ulizwa ni mbovu kuliko za miaka ya nyuma...kwa upeo wangu sidhani kama zimelenga kutusaidi kwa miaka kumi mingine ijayo....

KWA UJUMLA HILI ZOEZI NI LA KUFUJA PESA ZA WALIPA KODI TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…