IGP Poti Wambura nimeshatoa ONYO kwa Vijiwe vya Wahalifu kuwa wakiingia 18 zangu Majina yao yataanza kuitwa Marehemu

IGP Poti Wambura nimeshatoa ONYO kwa Vijiwe vya Wahalifu kuwa wakiingia 18 zangu Majina yao yataanza kuitwa Marehemu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Poti wangu IGP Wambura Mimi GENTAMYCINE nimeamua leo Kukuambia hili mapema baada ya Kugundua kuwa 95% ya hawa Vijana Wahalifu waliobatizwa Jina la Panya Road wanajulikana na Mapolisi wako na hata Vituoni ila Wanalindwa na hata baadhi ya Askari wako Wanafaidika nao.

Haiingii Akilini Polisi wa Tanzania waliopikwa vyena Kiintelijensia hawajui yaliko Makundi haya ya Wahalifu au hawana Taarifa zao ila Vijiwe vya Bange na Gongo wanavijua katika Kutwa huwa wanaenda huko Kukusanya Mapato huku Wakiwabariki kuendelea na huo Ulaibu pamoja na Biashara.

IGP Poti Wambura tumeharipoti sana Vitendo vya Kihalifu na Wahalifu Wenyewe katika Vituo vyako vya Polisi ila hakuna Kinachofanyika sana sana hao hao Polisi Wanatuchoma kwa hawa Wahalifu na kuanza Kuwindwa ama Kudhuriwa au hata Kuuwawa nao.

Mimi wakiingia TU katika 18 zangu wala sitowachelewesha namaliza na tayari nimeshanoa Mapanga yangu Tukuka kwa Kazi hiyo kwani tumeshachoka na huu Upuuzi wa hawa Panya Road uliobarikiwa na Uzembe wa hali ya Juu wa Askari Polisi wa Tanzania.
 
Polisi wanafanya kazi kubwa sanaaa, ka huamini we pata changamoto itakayokupeleka kwenye ofisi zao
isipokuwa baadhi tu ndo wanachafua hali ya anga na kushirikiana na wahalifu.
 
Nimeona taarifa na picha Kawe kuna dada inasemekana ameuliwa na hao Panya Rodi, hawa jamaa wakiendelea kuchekewa watageuka kuwa makundi kamili ya majambazi yatakayosumbua sana huku mitaani mbele ya safari, dawa ni kuwamaliza tu.
 
Wahalifu ni Wahalifu.
Punguzeni jazba na Uhasama unaokuja pamoja.

Lugha za kimbari hazitoweza tatua hili hata mkiwaita nini!
Ni Wahalifu.
Pongezi kwa IGP kwa kutotumia msamiati wa ukimbari.

ALUTA CONTINUA.
 
polisi wanafanya kazi kubwa sanaaa, ka huamini we pata changamoto itakayokupeleka kwenye ofisi zao
isipokuwa baadhi tu ndo wanachafua hali ya anga na kushirikiana na wahalifu
Kundi la vijana 40 wanaoshindwa kulizibiti wala kulibaini ni wazi kuna askari baadhi wanashirikiana na hao panya road hii Kamata Kamata ni kama zuga wanachukuliwa ni kama vibaka wa kawaida badala yakufunguliwa kesho za mauwaji
 
Hivyo vitoto vinakua, iko siku vitakuwa vibaba lakini sio panya rodi tena, watakuwa majambazi wanaofanya shughuli zao kwa makundi yenye silaha, ikifika hapo tujiandae kwa vilio zaidi.
Mkuu umepata wapi muda wa kupoteza Kumjibu huyo Mpumbavu Mwandamizi hapa Jamvini?
 
Hivyo vitoto vinakua, iko siku vitakuwa vibaba lakini sio panya rodi tena, watakuwa majambazi wanaofanya shughuli zao kwa makundi yenye silaha, ikifika hapo tujiandae kwa vilio zaidi.
Mungiki
 
Yes uhalifu unatuathiri mno, but ni vema tukaangalia upande wa pili wa coin, vitisho, mabavu, havitasaidia chochote kukabiliana na tatizo hili, chanzo cha panya road ni social ills tulizokua nazo,poverty and unemployment ni vema tukaanzia huku,kuwaua panya roads hakutasaidia chochote maana wataendelea kuwepo, nchi tunatakiwa tuachane na hizi mentality za kila kitu kutumia vitisho na dola, ona sasa FFU wanaonekana askari wa kawaida, awamu ya kwanza special unit hii ilikua nadra mno kuonekana hadharani but now hakuna mwenye kushituka nao bcs it's normal kuwaona mitaani, tutibie unemployment kwa vijana wetu kwanza
 
Poti wangu IGP Wambura Mimi GENTAMYCINE nimeamua leo Kukuambia hili mapema baada ya Kugundua kuwa 95% ya hawa Vijana Wahalifu waliobatizwa Jina la Panya Road wanajulikana na Mapolisi wako na hata Vituoni ila Wanalindwa na hata baadhi ya Askari wako Wanafaidika nao.

Haiingii Akilini Polisi wa Tanzania waliopikwa vyena Kiintelijensia hawajui yaliko Makundi haya ya Wahalifu au hawana Taarifa zao ila Vijiwe vya Bange na Gongo wanavijua katika Kutwa huwa wanaenda huko Kukusanya Mapato huku Wakiwabariki kuendelea na huo Ulaibu pamoja na Biashara.

IGP Poti Wambura tumeharipoti sana Vitendo vya Kihalifu na Wahalifu Wenyewe katika Vituo vyako vya Polisi ila hakuna Kinachofanyika sana sana hao hao Polisi Wanatuchoma kwa hawa Wahalifu na kuanza Kuwindwa ama Kudhuriwa au hata Kuuwawa nao.

Mimi wakiingia TU katika 18 zangu wala sitowachelewesha namaliza na tayari nimeshanoa Mapanga yangu Tukuka kwa Kazi hiyo kwani tumeshachoka na huu Upuuzi wa hawa Panya Road uliobarikiwa na Uzembe wa hali ya Juu wa Askari Polisi wa Tanzania.
Usingoje waingie kwenye eneo lako la penalty, wafuate hukohuko
 
Yani mimi huwa najiuliza. Yani hao watoto wanatoka nyumba ya kwanza, wanaenda ya pili mpaka ya tano hapo hapo Dar es salaam ambapo kituo cha polisi kiko km 2 ambapo wanweza kuwasha ving'ora wakafika ndani ya dk 5 et wanashindwa kuwadhibiti hao watoto? Maana yake wanafanya operation almost nusu saa. Hivi kweli nusu saa polisi hujafika eneo la tukio? Au wananchi hatuna elimu juu ya kutoa taarifa polisi?
 
Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu nawaasa wakubwa kwa wadogo crimes doesn't pay hakuna mtu anahuruma na wewe yaani wewe umwage damu isiyo nahatia halafu unataka imalizwe kisiasa unasema ooho! hamna ajira kuua na kujeruhi Watanzania ndo ajira MTAISHIA PABAYA ENYI KIZAZI MSICHOSIKIA
 
baadhi ta sisi raia tunawalea hawa panya buku, wapo mitaani mwetu tunacheka nao na tunapiga nao stori na baadhi ni wanufaika wa vitendo vyao vya kihalifu, katika mazingira kama hayo Polisi wanawezaje kuwatokomeza hao panya kama sisi wananchi tunawaficha na kuwalea bila kuwafichua wa Polisi?!

Sisi Raia inatupasa pia tubadilike, tuache kulisingizia jeahi la Polisi eti halichukui hatua eti linawalinda wakati sisi wanachi ndio tunawaficha hao wahalifu, kwa maana hiyo sisi RIA wema tunapaswa kuwafichua wahalifu pande zote bila kujali na mjomba wako wala shangazi yako......wote wanapaswa washughulikiwe.

Lakini kwa kumalizia dawa ya hawa panya inafahamika....lazima tutawamaliza, sasa wenye watoto wa panya au ndugu wasije kuanza kulalamika.
 
Back
Top Bottom