Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Mama mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo April 10, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu.
Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki, Dar es Salaam.
Kati ya jambo ambalo Mungu aliumba litufunze mambo mengi ni kifo. Muacheni Mungu aitwe Mungu
Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki, Dar es Salaam.
Kati ya jambo ambalo Mungu aliumba litufunze mambo mengi ni kifo. Muacheni Mungu aitwe Mungu