TANZIA IGP Simon Sirro afiwa na Mama yake Mzazi usiku wa kuamkia leo

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mama mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo April 10, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu.

Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki, Dar es Salaam.





Kati ya jambo ambalo Mungu aliumba litufunze mambo mengi ni kifo. Muacheni Mungu aitwe Mungu
 
Mama mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo April 10, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu.

Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki, Dar es Salaam.

 
Na nyanya yake akifa mtutangazie
 
Tarime watuwamekufa wengi sana kipindi cha uchaguzi kwa Ajili ya siro.
Nakuchukia pamoja na uzao wako wote.
Kifo ni Fundi,hata mimi nitakufa lakini mpka siku Yangu ifike.sio kwa kuwawa na jeshi la Siro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…