Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hela ndefu ya uhamisho, anakula pasuKuna Nini Ndani Ya Jeshi La Polisi.
.
Naona Sirro amekuwa akifanya SAna Mabadiliko ya Marpc Kila WAkati.View attachment 2177929
Kuna hela ndefu ya uhamisho, anakula pasuKuna Nini Ndani Ya Jeshi La Polisi.
.
Naona Sirro amekuwa akifanya SAna Mabadiliko ya Marpc Kila WAkati.View attachment 2177929
Naamini hayo ndio mabadiliko ya mwisho kabisa kufanywa na Sirro akiwa IGP kabla ya kustaafishwa. Muda ni mwalimu mzuriMkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro amefanya uhamisho na mabadiliko ya makamanda wa Polisi wa mikoa kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wa jeshi hilo.
Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 6, 2022 na msemaji wa jeshi hilo, David Misime imeeleza kuwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Onesmo Lyanga amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi, huku nafasi yake ikichukuliwa na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Martin Otieno.
“Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Daniel Shillah amehamishwa kwenda kuwa kamanda wa polisi mkoa wa Kaskazini Unguja” imeeleza taarifa hiyo.
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Faustine Mafwele amehamishwa kwenda kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZCO).
“Aliyekuwa Naibu Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (D/RCO) mkoa wa Mwanza Mrakibu Mwandamnizi wa Polisi (SSP) John Lwamlema anakuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza (RCO)” imeeleza taarifa hiyo.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Naamini hayo ndio mabadiliko ya mwisho kabisa kufanywa na Sirro akiwa IGP kabla ya kustaafishwa. Muda ni mwalimu mzuri
Akipanguluwa anaingia KINGOIBado yeye kupanguliwa
Sirro ungepumzika tu braza! zama zako zimepita! Tanzania ya leo pamoja simkubali mange kimambi ila wewe kwenda kufunga akaunti yake ya benki UMEAMSHA hasira za wafanyabiashara ambao walianza kumuamini MAMA! umesababisha waanze kujiuliza tena kumbe wanaweza kurudishwa motoni tena maana wewe bado upo unafurahia tabia za ZAMANI!
SIRRO ondoa aibu jeshini humo pumzika
mie wala sio mfuasi wa Mange malaya yule mjaa laana kukaa uchi tu!Mange ni shetani mkubwa.Ninyi wafuasi wake ipo siku yenu.
Sio kwamba anafuja hela zetu za kodi ki-aina na kundi lake? Nawaza kwa sauti ya kinyonge[emoji24][emoji24]Sasa naona vurugu tu, kila siku anawahamisha.
Huyu Afande ACP Muliro wa Dar es Salaam ambaye kila Mechi za Ligi Kuu ya NBC hakosekani Uwanjani na Sare zake za Police Yeye haya Mabadiliko yataanza Kumgusa lini?Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro amefanya uhamisho na mabadiliko ya makamanda wa Polisi wa mikoa kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wa jeshi hilo.
Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 6, 2022 na msemaji wa jeshi hilo, David Misime imeeleza kuwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Onesmo Lyanga amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi, huku nafasi yake ikichukuliwa na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Martin Otieno.
“Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Daniel Shillah amehamishwa kwenda kuwa kamanda wa polisi mkoa wa Kaskazini Unguja” imeeleza taarifa hiyo.
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Faustine Mafwele amehamishwa kwenda kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZCO).
“Aliyekuwa Naibu Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (D/RCO) mkoa wa Mwanza Mrakibu Mwandamnizi wa Polisi (SSP) John Lwamlema anakuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza (RCO)” imeeleza taarifa hiyo.
Karudishwa Makao Makuu Dodoma kusoma magazetiYule aliyesema anatamani kuwa IGP nae vipi amepanguliwa au bado yupo kitengo kile kile...?
naomba kufahamu huyu mtajwa hapo daniel shila ni ndg na yule prophet billioner shila?Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro amefanya uhamisho na mabadiliko ya makamanda wa Polisi wa mikoa kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wa jeshi hilo.
Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 6, 2022 na msemaji wa jeshi hilo, David Misime imeeleza kuwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Onesmo Lyanga amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi, huku nafasi yake ikichukuliwa na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Martin Otieno.
“Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Daniel Shillah amehamishwa kwenda kuwa kamanda wa polisi mkoa wa Kaskazini Unguja” imeeleza taarifa hiyo.
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Faustine Mafwele amehamishwa kwenda kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZCO).
“Aliyekuwa Naibu Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (D/RCO) mkoa wa Mwanza Mrakibu Mwandamnizi wa Polisi (SSP) John Lwamlema anakuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza (RCO)” imeeleza taarifa hiyo.
Ni baba yake mzazi wa yule anaejiita billionair shilanaomba kufahamu huyu mtajwa hapo daniel shila ni ndg na yule prophet billioner shila?