beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema ametembelea Vituo kadhaa vya kupigia kura na hali ni shwari, jambo linaloashiria Watanzania wanaelewa umuhimi wa siku ya leo.
Ameomba utulivu ambao umeanza uendelee mpaka pale kura zitakapomaliza kupigwa na hatimaye matokeo kutolewa.
Ameeleza, "Najua wakati wa matokeo yanatolewa ndio baadhi ya watu hupata mihemko, na mihemko huwa haina tija. Atakayechaguliwa kuwa Kiongozi wako huyo huyo atakusaidia kuhakikisha nchi yetu inakuwa na maendeleo"
Ameomba utulivu ambao umeanza uendelee mpaka pale kura zitakapomaliza kupigwa na hatimaye matokeo kutolewa.
Ameeleza, "Najua wakati wa matokeo yanatolewa ndio baadhi ya watu hupata mihemko, na mihemko huwa haina tija. Atakayechaguliwa kuwa Kiongozi wako huyo huyo atakusaidia kuhakikisha nchi yetu inakuwa na maendeleo"