Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti! Aisee!kanisa linajengwa na mikono iliyojaa damu
Sagai: Aisee!!!Litakuwa kanisa la waabudu shetani hilo. Limejengwa kwa damu za watu wale waleotekwa,walioteswa,waliouawa enzi za utawala wa giza wa yule dhalim wa kihutu
Ndio maana Mungu kaamua kujificha ila angekuepo Live.... Sijui ingekuajekanisa linajengwa na mikono iliyojaa damu
KWA MATENDO YAKE YA KIKATILI SIDHANI KAMA ITASAIDIA ATI MUNGU ATAMUONA KUWA MTU MWEMA...habari nzima ipo hapa
Aisee! Kanisa tena!KWA MATENDO YAKE YA KIKATILI SIDHANI KAMA ITASAIDIA ATI MUNGU ATAMUONA KUWA MTU MWEMA.
UYU NI SHETANI KABISA, KAWALINDA WASIOJULIKANA WKT WA DICTATOR JPM SASA ATI ANAMGEUKIA MUNGU.
SHETANI MKUBWA UYU KAUA, KATESA NA BADO ANATESA WASIO NA HATIA UYU
Tatizo lipo la kimaadili. Anajificha chini ya kivuli cha dini wakati ni jitu katili na liuaji lililopindukiaSioni tatizo lolote kwenye hilo, ni uamuzi wake.
kataka za kitu kinautwa dini... ujinga mtupuIdd Amini nae alikuwa Alhaj baada ya kufanya mauaji makubwa so tusishangae Sana hili kuwa shetani akizeeka huwa malaika
Na Uganda ni mwanachama wa jumuiya ya nchi za kiislam OIC nahisi yeye ndie aliingiza huko,,,,kilichofatia ni kumpa majina mabovu.Idd Amini nae alikuwa Alhaj baada ya kufanya mauaji makubwa so tusishangae Sana hili kuwa shetani akizeeka huwa malaika