kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Nadhani ipo nafasi ukitika katika utumishi unachobaki nacho ni kama binadamu mwenye imani kwamba Mungu yupo nikumshukuru Mungu nakuendelea kumtukuza kwa uhai na madaraka uliyopewa.
Ukipewa madaraka, ukapewa maarifa ya mema na mabaya, ukapewa maarifa ya kujua pumzi si mali itokayo kwa mwanadamu bali kwa Mungu, basi utaheshimu kila nafsi ulilokabidhiwa kuilinda.
Nimemsikiliza mzee Sirro kauli yake dhidi ya Lissu, nimeumia kwamba uhai wa mwanadamu umepewa nafasi ndogo kuliko mshahara na ulinzi wa smg. Natamani viongozi waache kuona mshahara, waone Taifa na kuwaona binadamu.
Hiki alichokitamka huyu mzee kwa umri wake na kwa kutoshurutishwa na mtu naamini hakitoishi masikioni mwake. Ametenda kosa ambalo linawanufaisha wanasiasa lakini linachipa na kuimomonyoa nafsi yake hasa pale anapokuwa kwenye binafsi na ambayo anakwenda kuyaanza hivi karibuni.
Nimeumia kwa aina hii ya viongozi.
Ukipewa madaraka, ukapewa maarifa ya mema na mabaya, ukapewa maarifa ya kujua pumzi si mali itokayo kwa mwanadamu bali kwa Mungu, basi utaheshimu kila nafsi ulilokabidhiwa kuilinda.
Nimemsikiliza mzee Sirro kauli yake dhidi ya Lissu, nimeumia kwamba uhai wa mwanadamu umepewa nafasi ndogo kuliko mshahara na ulinzi wa smg. Natamani viongozi waache kuona mshahara, waone Taifa na kuwaona binadamu.
Hiki alichokitamka huyu mzee kwa umri wake na kwa kutoshurutishwa na mtu naamini hakitoishi masikioni mwake. Ametenda kosa ambalo linawanufaisha wanasiasa lakini linachipa na kuimomonyoa nafsi yake hasa pale anapokuwa kwenye binafsi na ambayo anakwenda kuyaanza hivi karibuni.
Nimeumia kwa aina hii ya viongozi.