Wewe ni taahira na takataka tu
Tunamwachia Mungu tu.Nadhani ipo nafasi ukitika katika utumishi unachobaki nacho ni kama binadamu mwenye imani kwamba Mungu yupo nikumshukuru Mungu nakuendelea kumtukuza kwa uhai na madaraka uliyopewa.
Ukipewa madaraka, ukapewa maarifa ya mema na mabaya, ukapewa maarifa ya kujua pumzi si mali itokayo kwa mwanadamu bali kwa Mungu, basi utaheshimu kila nafsi ulilokabidhiwa kuilinda.
Nimemsikiliza mzee Sirro kauli yake dhidi ya Lissu, nimeumia kwamba uhai wa mwanadamu umepewa nafasi ndogo kuliko mshahara na ulinzi wa smg. Natamani viongozi waache kuona mshahara, waone Taifa na kuwaona binadamu.
Hiki alichokitamka huyu mzee kwa umri wake na kwa kutoshurutishwa na mtu naamini hakitoishi masikioni mwake. Ametenda kosa ambalo linawanufaisha wanasiasa lakini linachipa na kuimomonyoa nafsi yake hasa pale anapokuwa kwenye binafsi na ambayo anakwenda kuyaanza hivi karibuni.
Nimeumia kwa aina hii ya viongozi.
Mungu atawashughulikiwa kama ambavyo anaendelea kuwateketeza makatili wote ameshaanza na Jiwe na kijazo, na wengine wengi wanafataSirro ni mwelevu sana na anajua kudeal na mambo ya msingi na wababaifu pia
Kweli Tundu alifanyiwa tukio la kikatili kama ambavyo angeweza kufanyiwa mtanzania mwingine yoyoteyoyote.... Ila aache propaganda za mitandaoni sasa, aje asaidiane na vyombo husika tuupate ukweli wa jambo lake aache ubabaifu
Anachodai sasa ni ubinafsi sio usalama
Mungu atawashughulikiwa kama ambavyo anaendelea kuwateketeza makatili wote ameshaanza na Jiwe na kijazo, na wengine wengi wanafata
Kizuri kipi yule mwenye laana na wenzake wanadanja kila siku.Kizuri hakidumu - Wahenga
Wanachokipenda wanadamu na Mungu hukipenda zaidi
Sasa ngoja tuone vile wewe utaishi milele🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kweli hata mimi ameniumiza sana! Sikutegemea kwa umri wake na cheo chake atakuwa na upeo mdogo kiasi kile. Yeye wakati wote anawaza maslahi, maslahi , maslahi. Sielewi kwa nini ndani ya nafsi yake anaweza tu maslahi. Ndio maana hawa polisi wakipewa elfu tano tu wanageuka kuwa wasiojulikana na kuumiza watu. Badala ya kuvaa uhusika wa Lissu na kuhisi maumivu aliyoyapata kwa risasi zote zile kuingia mwilini mwa mtu yeye anaona ni jambo la kawaida tu. Huu ni unyama uliopitiliza. Namwangalia Sirro kwa jicho la mshangao tofauti na mwanzo. Sikuwahi kufikiri kuwa IGP Sirro ana roho mbaya kama hii. Eti, yaliyompata ni ya kawaida tu.Nadhani ipo nafasi ukitika katika utumishi unachobaki nacho ni kama binadamu mwenye imani kwamba Mungu yupo nikumshukuru Mungu nakuendelea kumtukuza kwa uhai na madaraka uliyopewa.
Ukipewa madaraka, ukapewa maarifa ya mema na mabaya, ukapewa maarifa ya kujua pumzi si mali itokayo kwa mwanadamu bali kwa Mungu, basi utaheshimu kila nafsi ulilokabidhiwa kuilinda.
Nimemsikiliza mzee Sirro kauli yake dhidi ya Lissu, nimeumia kwamba uhai wa mwanadamu umepewa nafasi ndogo kuliko mshahara na ulinzi wa smg. Natamani viongozi waache kuona mshahara, waone Taifa na kuwaona binadamu.
Hiki alichokitamka huyu mzee kwa umri wake na kwa kutoshurutishwa na mtu naamini hakitoishi masikioni mwake. Ametenda kosa ambalo linawanufaisha wanasiasa lakini linachipa na kuimomonyoa nafsi yake hasa pale anapokuwa kwenye binafsi na ambayo anakwenda kuyaanza hivi karibuni.
Nimeumia kwa aina hii ya viongozi.
Tangu Sirro atamke maneno hayo kwa kweli nikikumbuka mwili unasisimuka. kwamba katika nchi hii tuna watu tena viongozi aina ya Sirro ambao hawana hata hisia za maumivu ya wengine! Kweli unaweza kunyanyua mdomo kukejeli kilema cha mtu kilichosababishwa na risasi na wewe ndio mkubwa wa hao wenye risasi! Kiongozi umepewa kulinda raia na mali zao halafu wewe ndio unakuwa wa kwanza kuchekelea maumivu ya raia wako!"Lissu anatumia kilema alichonacho kupata fadhila za wazungu".
HII KAULI, KAULI HII! Haitakuacha salama Sirro. Iwe Leo duniani au kesho ahera, hutakuwa salama kwa kukejeli kilema cha mwenzio kilichosababishwa na watu unaowajua.
Yaani Lissu afurahie kuwa kilema kuliko kuwa mzima? Kwahiyo unaungana na kina Musiba walioitisha press conference na kusema Lissu hakupigwa risasi za moto bali risasi baridi (blanks)? Na wewe unatuletea jambo jipya kwamba Lissu yuko kwenye hali hiyo kwa kupenda kwake?
Yaani amefanyiwa operesheni zaidi ya 20 mwilini mwake ili tu apate ufadhili?
KWAMBA; Amukuwa tayari kuishi akitobolewa mwili, kuvunjwa mifupa na kuwekewa vyuma ili apate kufadhiliwa na Wazungu?
SIRRO! Tema mate chini braza, wewe ni Mkristo Mkatoliki si mpagani. Kumbuka ukuu wa Mungu na maelekezo yake kwa watu wake kuhusu huruma na upendo.
UNAJIMALIZA KIIMANI NA KIBINADAMU.
Laana unayo wewe unayemchukia mtu ansyekubalika na watu wake kwa zaidi ya 84%Kizuri kipi yule mwenye laana na wenzake wanadanja kila siku.
84% FakeLaana unayo wewe unayemchukia mtu ansyekubalika na watu wake kwa zaidi ya 84%
Wewe wa 16% mwenye kutumia nguvu ya mitandao ni sawa na tone la sukari baharini🤣🤣
Prove!84% Fake
Yani mtu kuwa na cheo ndo unakejeli ilemavu wa mtu as ifu wewe sio binadamu mwenye mwili wa nyama na kusahau hujaga hujaumbika.Awe mstalabu aombe radhi huo sio ubinadam
Wewe ni mwanamke na unategemea kuzaa? Una watoto?Sirro hajakejeli hali ya mtu ila ameielezea
Jifunze kutofautisha
Wewe ni mwanamke na unategemea kuzaa? Una watoto?
My dear sometimes bora ukae kimya tu maana Mungu sio mwanadamu
Lissu akae na Sirro? Hahaha labda sio Lissu nae mjua! Subiri uharo atakaokuja nao kumjibu Sirro utanielewa.Makelele yote Yale ya Lisu hakuyasikia? Mbona hatujamsikia anaongea chochote akiwa kiongozi wa walinda amani ya taifa anavyosema. Ndani ya nyumba mtu mmoja akijeruhiwa lazima watu wajiulize kuna Nini?
Kama ni makelele watanzania walisikia na ni mashahidi hata mbele ya mungu. Hata waliokuwa mahutihuti mahosptalini na watoto wachanga walisikia sauti ya Lisu.
Watanzania tujifunze kuwa wakweli. Huu muhimili sio wa mchezo kwa kweli. Hata Mimi majibu ya Sirro kuhusu Lissu yameniumiza.
Sirro akumbuke yeye ni kiongozi wa ulinzi na usalama wa taifa na nimpatanishi wa pande zote na kurekebisha kitabia. Akubali kukaa na Lissu wayajenge.
Kwa hiyo umetuhakikishia Tundu ni Tundu la uharo tuu🤔🤔🤔🤔Lissu akae na Sirro? Hahaha labda sio Lissu nae mjua! Subiri uharo atakaokuja nao kumjibu Sirro utanielewa.
Sina zaidi ya hilo nililokiambia my dear. Ila tu Mungu hadhihakiwi. Usichukulie uovu/dhambi ya mtu mwingine kuwa kisingizio cha wewe kuhukumu au kuunga mkono uovu.Uanamke sio kukaa kimya kwa mambo yanayohitaji mchango kwa jamii
Mama wa taifa akiwa makamu aliwaambia hakuna askari wake anaweza mpiga mtu risasi zote zile, kama mlimuelewa mnatakiwa kuwaza mbali zaidi na kumwambia huyo mtanzania mwenzetu aje tushirikiane kuujua ukweli
Aliweza kuja kufanya kampeni nini kinamshinda kuja sasa!?