IGP Sirro afanya mabadiliko: ACP Wankyo Nyigesa arudishwa Makao Makuu kupisha Uchunguzi, ACP Mwampakale awa RPC Kagera

 
Nadhani alipata za chini chini kuwa alitaka kuondolewa akaamua aondoke na ile kauli yenye utata
 

ACP Wankyo Nyigesa, atateuliwa kuwa IGP soon.​

 
Vita vya Panzi .. mtajuana wenyewe eti nidhamu toka lini POLICCM mkawa na nidhamu,, wazurumati na wauaji wakubwa nyie. Pumbavu kabisa kabisa.
 
Hii kama ni kweli kwa sisi wajuzi wa mambo inamaanisha ni kweli IGP Mr Sirro kasononeka sana moyoni na kashindwa kuvumilia madhaifu yake kaamua kumtosa baharini kamanda aliyemwanika hadharani.
Si kusononeka, kwa maneno yale bila kumchukulia hatua ingeonesha udhaifu na nidhamu ndani ya jeshi inge tiwa dosari.

Wanatoka mkoa mmoja, na ingeweza leta hisia ya upendeleo.
 
Kagera ndio ngazi ya kupandia juu.

Angalia Diwani alikuwa Ras Kagera

Awadh alikuwa RPC Kagera

Nk....nk!
 
Hahahahaha watabiri uchwara wa JF walisema atapelekwa masjala ya pale Idodomya kusoma magazeti na utabiri wenu uchwara umetimia

Mwana kulifind mwana kuliget
Wankyo goooooo to red sand town ukapauke
Ila kamanda Zerro ni dhaifu Sana hakyanani
Yale Yale ya Ndugai na Assad CAG
😁😁😁😁πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…