IGP Sirro afanya mabadiliko: ACP Wankyo Nyigesa arudishwa Makao Makuu kupisha Uchunguzi, ACP Mwampakale awa RPC Kagera

ACP Wankyo Nyigesa Alikosa kuwa IGP ubunge kwenye Jimbo lake unamsubiri akistaafu Jeshi.
 
Kama Kuna kiongozi awe waziri, spika au jaji aliyechoka kazi, aje atamke kwamba atawania urais 2025.
Atajua hajui kabla hakujacha
Hizi nidhamu za uwoga wenzetu kunyaland walishaachana nazo......siasa zao ziko open sana mtu yoyote anaweza kum challenge kiongozi wa juu akiwemo rais kisiasa, tukiendeleza hizi siasa za uwoga na unafiki hatutafika kokote...
 
Kwanini huu uzi umeletwa kwenye jukwaa la siasa badala ya kule kwingine?
 
Mmmmh, JPM aliwahi kuwa mkuu wa majeshi ya wapi mkuu?
 
Unajua kuna mtu mwingine anaweza akawa hataki nafasi fulani hivyo akaamua kuitosa kiaina hata kama ni nzuri.

Tukumbuke hata kipindi cha Jpm wapo ilizungumzwa kuwa atakayejitosa kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge basi watapoteza nafasi zao lakini bado wakajitokeza kina Mwanry, Ole Sendeka nk

Maana kwa akili ya kawaida tu huwezi kuropoka vile kama Wankyo
 
Vyeo vya utumishi haviombwi, ingekuwa kuwa IGP lazima ugombee hapo sawa, ila kitendo Cha kuomba Rais akuteuwe ilihali unajua IGP yupo maana yake unatangaza uasi Kwa IGP aliyepo mamlakani, kutukabari kuwa Wakyo amemkosea Sirro na ameikosea taasisi ya Urais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…