Ki system pia afai akiwa IGP kesho atautamani uraisiYaah angeonesha ukomavu kwenye hili japo Jamaa alisema huo upuuzi kazingua sana ni kuonesha namna gani ana uchu na madaraka pia na Kutaka kumwambia Rais Siroo hatoshiiii
Yaah Magu watu kama hawa alikuwa anawazingua jumlaaaKi system pia afai akiwa IGP kesho atautamani uraisi
Nidhamu ya kutunzwa kwenye jeshi la polisi haipoo.Yap,hatua nzuri ni mwendelezo wa kutunza nidhamu kwenye majeshi yetu.
umeamua tu kunisakama ila hoja huna , halafu unapaswa kufahamu kwamba sijawahi kuhofia madongo duni kama hayo yakoKwa jinsi ulivyo na ulivoandika hufai kuwa staff wa jf umedhihirisha uwezo wako Mdogo wa kutafakari na kung'amua Mambo pia ujuhi umuhimu wa kukaa kimya ili usionekane mjinga
Kuna [emoji985] za kutosha maofisini kule HQ.Magazeti hakuna siku hizi Bali atakuwa anashinda mapokezi tu kubana miguu kila anayeingia anajua ni bosi wake
Sirro hastahili hiyo heshima kutokana na ukweli unaoufahamuPolisi kuna shida ya nidhamu. Utomvu wa nidhamu kwa askari wadogo kama mauaji kule Mtwara ni kielelezo cha hali halisi huko juu. Hili la Wankyo ni tukio la aibu mno kijeshi...
Mbona Zitto alipikitaka cheo cha Mbowe nae aliadhibiwa?Kaadhibiwa kwa kutaka cheo cha juu kwasababu aliamini ana uwezo wa kukitumikia?
Huko jeshini kuna mambo mengi ya ajabu.
Subiri kina masifa wenye mkoa wao watakujibu😀Huyu afande ana akili nyingi Sana, hakutaka kwenda Kagera. Alijua akim- provoc Mkuu wake, obviously atapelekwa makao makuu. Pale ndo atajijenga na Kisha ndoto zake zitatimia.
Hivi mnapajua Kagera?! Waache waende hao waliotoka Rukwa labda watapata nafuu.
Mawazo binafsi.
WENYE MADARAKA kumbukeni VYEO ni Kama KOTI kuna KUVAA na KUVUATaarifa zilizopo ni kwamba RPC KAGERA ambaye ametoka Pwani na kupelekwa mkoa Kagera ndugu Wankyo nadhani kauli ya jana ya kuhitaji ukuu wa Jeshi la Polisi imemuungiza matatani hii imeonesha hana nidhamu ya hali ya juu ndani ya jeshi hivyo basi staff officer aliyepo mkoa wa Rukwa ameteuliwa kuwa kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera na Wankyo amepelekwa makao makuu ya jeshi mkoani DODOMA ambapo ni mji mkuu wa tanzania.
Ikumbukwe kuwa kauli aliyotoa jana kiutendaji ndani ya jeshi la polisi huku akijuwa mkuu wake wa kazi yupo na anafanya kazi hakustahili kusema kuwa mkuu wake wa kazi anafanya kazi ila yeye akipewa ukuu wa jeshi anaweza kufanya vizuri zaidi hii imeonesha kuwa nafasi aliyeteuliwa na amri jeshi mkuu hatoshi kuliongoza jeshi hivyo basi kwa kuwa jeshi huongozwa kwa nidhamu ya hali ya juu ndiyo maana mabadiliko hayo yamefanyika ili akae makao makuu ajifunze nidhamu pamoja na kuandika vipeperushi mabalimbali vinavyolihusu jeshi la polisi.
Pia soma: Wankyo Nyigesa RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
😂Hata nanii atang'oka tu.
Huyu wa chama pinzani.
Hukunaga anayedumu
Kumekucha kumekucha wacha aende huko akakoroge chai na kalamu utamtukanaje mkunga na uzazi ungalipo?Taarifa zilizopo ni kwamba RPC KAGERA ambaye ametoka Pwani na kupelekwa mkoa Kagera ndugu Wankyo nadhani kauli ya jana ya kuhitaji ukuu wa Jeshi la Polisi imemuungiza matatani hii imeonesha hana nidhamu ya hali ya juu ndani ya jeshi hivyo basi staff officer aliyepo mkoa wa Rukwa ameteuliwa kuwa kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera na Wankyo amepelekwa makao makuu ya jeshi mkoani DODOMA ambapo ni mji mkuu wa tanzania.
Ikumbukwe kuwa kauli aliyotoa jana kiutendaji ndani ya jeshi la polisi huku akijuwa mkuu wake wa kazi yupo na anafanya kazi hakustahili kusema kuwa mkuu wake wa kazi anafanya kazi ila yeye akipewa ukuu wa jeshi anaweza kufanya vizuri zaidi hii imeonesha kuwa nafasi aliyeteuliwa na amri jeshi mkuu hatoshi kuliongoza jeshi hivyo basi kwa kuwa jeshi huongozwa kwa nidhamu ya hali ya juu ndiyo maana mabadiliko hayo yamefanyika ili akae makao makuu ajifunze nidhamu pamoja na kuandika vipeperushi mabalimbali vinavyolihusu jeshi la polisi.
Pia soma: Wankyo Nyigesa RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
HahahahaaaaIGP 0 to Zanaki gang kumpuzika soon
Kuna jeshi hapo au tawi kuu la CCM?Alisahau kuwa askari hatakiwi kuzoka mbele ya camera, askari kulewa mbele ya camera ni sawa na kuwaambia maadui kuwa jeshi limekwenda mapumziko
Kutamani cheo cha boss wako ni kosa?Kumekucha kumekucha wacha aende huko akakoroge chai na kalamu utamtukanaje mkunga na uzazi ungalipo?
YesWas waiting for this.