IGP Sirro afanya mabadiliko: ACP Wankyo Nyigesa arudishwa Makao Makuu kupisha Uchunguzi, ACP Mwampakale awa RPC Kagera

IGP Sirro afanya mabadiliko: ACP Wankyo Nyigesa arudishwa Makao Makuu kupisha Uchunguzi, ACP Mwampakale awa RPC Kagera

Taarifa zilizopo ni kwamba RPC KAGERA ambaye ametoka Pwani na kupelekwa mkoa Kagera ndugu Wankyo nadhani kauli ya jana ya kuhitaji ukuu wa Jeshi la Polisi imemuungiza matatani hii imeonesha hana nidhamu ya hali ya juu ndani ya jeshi hivyo basi staff officer aliyepo mkoa wa Rukwa ameteuliwa kuwa kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera na Wankyo amepelekwa makao makuu ya jeshi mkoani DODOMA ambapo ni mji mkuu wa tanzania.

Ikumbukwe kuwa kauli aliyotoa jana kiutendaji ndani ya jeshi la polisi huku akijuwa mkuu wake wa kazi yupo na anafanya kazi hakustahili kusema kuwa mkuu wake wa kazi anafanya kazi ila yeye akipewa ukuu wa jeshi anaweza kufanya vizuri zaidi hii imeonesha kuwa nafasi aliyeteuliwa na amri jeshi mkuu hatoshi kuliongoza jeshi hivyo basi kwa kuwa jeshi huongozwa kwa nidhamu ya hali ya juu ndiyo maana mabadiliko hayo yamefanyika ili akae makao makuu ajifunze nidhamu pamoja na kuandika vipeperushi mabalimbali vinavyolihusu jeshi la polisi.

Pia soma: Wankyo Nyigesa RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Juu kwenye SATELAITI kunasomekaje teh teh teh
 
Hii generalization yako haiwezi kuwa sahihi. Vinginevyo, nchi yetu lazima iwe ni nchi ya majambazi tupu (kiasi cha kukosa mtu yeyote muadilifu wa kujiunga na Jeshi la Polisi)!
Police Wazuri wapo wengi tu, mi kuna Mambo nilifanyiwa na police wahuni,wakaja police Wazuri wakarekebisha na ushahidi juu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hatua walipofikia hawa police Tanzania , yaani ni heri ukutane na jambazi lenye siraha kuliko ukutane na police .
Maana jambazi ukimpa hera hana shida na wewe anaondoka zake anakuacha salama .
Lkn ukikutana na police anachukua hela yako na kukuua ili apoteze ushahidi . au anakubambikia kesi ukaozee jela.
Usiombe yakukute ndugu.
Jambazi unaweza mweleza akakuelewa ila hawa nyugu jau
 
Taarifa zilizopo ni kwamba RPC KAGERA ambaye ametoka Pwani na kupelekwa mkoa Kagera ndugu Wankyo nadhani kauli ya jana ya kuhitaji ukuu wa Jeshi la Polisi imemuungiza matatani hii imeonesha hana nidhamu ya hali ya juu ndani ya jeshi hivyo basi staff officer aliyepo mkoa wa Rukwa ameteuliwa kuwa kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera na Wankyo amepelekwa makao makuu ya jeshi mkoani DODOMA ambapo ni mji mkuu wa tanzania.

Ikumbukwe kuwa kauli aliyotoa jana kiutendaji ndani ya jeshi la polisi huku akijuwa mkuu wake wa kazi yupo na anafanya kazi hakustahili kusema kuwa mkuu wake wa kazi anafanya kazi ila yeye akipewa ukuu wa jeshi anaweza kufanya vizuri zaidi hii imeonesha kuwa nafasi aliyeteuliwa na amri jeshi mkuu hatoshi kuliongoza jeshi hivyo basi kwa kuwa jeshi huongozwa kwa nidhamu ya hali ya juu ndiyo maana mabadiliko hayo yamefanyika ili akae makao makuu ajifunze nidhamu pamoja na kuandika vipeperushi mabalimbali vinavyolihusu jeshi la polisi.

Pia soma: Wankyo Nyigesa RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Yote matapeli tu.
 
Taarifa zilizopo ni kwamba RPC KAGERA ambaye ametoka Pwani na kupelekwa mkoa Kagera ndugu Wankyo nadhani kauli ya jana ya kuhitaji ukuu wa Jeshi la Polisi imemuungiza matatani hii imeonesha hana nidhamu ya hali ya juu ndani ya jeshi hivyo basi staff officer aliyepo mkoa wa Rukwa ameteuliwa kuwa kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera na Wankyo amepelekwa makao makuu ya jeshi mkoani DODOMA ambapo ni mji mkuu wa tanzania.

Ikumbukwe kuwa kauli aliyotoa jana kiutendaji ndani ya jeshi la polisi huku akijuwa mkuu wake wa kazi yupo na anafanya kazi hakustahili kusema kuwa mkuu wake wa kazi anafanya kazi ila yeye akipewa ukuu wa jeshi anaweza kufanya vizuri zaidi hii imeonesha kuwa nafasi aliyeteuliwa na amri jeshi mkuu hatoshi kuliongoza jeshi hivyo basi kwa kuwa jeshi huongozwa kwa nidhamu ya hali ya juu ndiyo maana mabadiliko hayo yamefanyika ili akae makao makuu ajifunze nidhamu pamoja na kuandika vipeperushi mabalimbali vinavyolihusu jeshi la polisi.

Pia soma: Wankyo Nyigesa RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Kwa sisi wenye Imani kali.

Kitendo cha kusogezwa Makao makuu kinawza ndio kikawa cha kumsogeza zaidi ili ateuliwe.

Kikawaida itaonekana kapiteza lakin in short run au long run kimemsogeza karibu na nafasi iliyoamini atafanya vizuri.
 
Hapa ndipo nashuhudia watz wengi tulivyo vilaza na wanafiki ,ooh Sirro ajiuzuru katokea mwamba wa kumchalleng watu mmemtema mwamba kmmk zetu wallah
 
RPC angesema anatamani awe KOPLO angeundiwa kikosi cha kumchunguza?

Au angeambiwa Mzalendo.

Mbona RPC wakistaafu nakuchaguliwa kuwa Mabig chair wa CCM huwa hawachunguzwi?
 
Kwani kuna ubaya kuomba cheo?
Ndio maana ukiomba basi muombe mungu tu,
Binaadamu hukasirika akiombwa
 
Hivi kurudishwa makao makuu ni kushushwa cheo?

Kurudi Makao Makuu sio kushuka cheo ila status inashuka maana huna power kama ulivyokuwa RPC na ule udambwi udambwi unaondoka.

Makao Makuu wenye cheo kama chako wako kibao na waliokuzidi wako kibao kwahiyo unaonekana mwananchi wa kawaida tu huna lolote.

Kumbuka ukiwa RPC Polisi wote katika Mkoa huo unawazidi cheo na wanapokea amri kutoka kwako.

Mpe pole ACP Wankyo ameyakanyaga kweli kweli atakaa HQ atasoma magazeti mpaka basi[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom