IGP Sirro alikuwa sahihi kutangaza mbinu za ufuatiliaji wa mafunzo ya Madrasa na Sunday School?

IGP Sirro alikuwa sahihi kutangaza mbinu za ufuatiliaji wa mafunzo ya Madrasa na Sunday School?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakurungwa Kumekucha

Kimsingi Mimi Sidhani kama ilikuwa ni busara IGP Sirro kutangaza adharani nia ya kufatilia mafunzo yanayo endelea misikitini na manisani.

Let say kweli baadhi wanafundisha uovu kwa watoto, je wataendelea kufundisha wakati mumewastua!?

Polisi Mnafanya watu kubuni mbinu mpya kwa kutangaza mikakati yenu mapema.

IGP Sirro Hakuwa Sahihi Kabisa.
 
Ni tahadhali na lazima jeshi lijipange kuzikagua ipasavyo hizi taasisi za dini zinazotoa mafunzo ya kigaidi..hatuwezi ruhusu usalama wa nchi kuhatarishwa na imani za kidini. Hii ni non secular country.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni tahadhali na lazima jeshi lijipange kuzikagua ipasavyo hizi taasisi za dini zinazotoa mafunzo ya kigaidi..hatuwezi ruhusu usalama wa nchi kuhatarishwa na imani za kidini...hii ni non secular country.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu kwenye swala la nyumba za ibada sio swala la kisiasa, ni swala la ki-intelijensia. Lakini hakuna ambaye ataelewa.
 
Ni lini hawakuwahi kufuatilia? Wakati wote nyumba za ibada zimekuwa chini ya uangalizi.
 
Nchi zote hufanya hivyo ni Tanzania tu tulikuwa tunaruhusu mafunzo holela ya kidini
 
Nchi zote hufanya hivyo ni Tanzania tu tulikuwa tunaruhusu mafunzo holela ya kidini
Sina Maana Kwamba Nchi Zote Hazifanyi Hivyo Maana Yangu Ni Kwamba, Unapomwambia Mtu Kwamba twaja Ina Maana unampa alert Mapema Kabisa
 
Hawaji na uniform za kazi huwa wanakuja km waumini
Sina Maana Kwamba Nchi Zote Hazifanyi Hivyo Maana Yangu Ni Kwamba, Unapomwambia Mtu Kwamba twaja Ina Maana unampa alert Mapema Kabisa
 
Makanisani hawafundishwi chuki polisi watajisumbua bure kufuatilia huko
 
Back
Top Bottom