IGP Sirro alituahidi kumkamata Mange Kimambi kwa udi na uvumba, leo hii tunamuona akipiga picha na Rais wa JMT. Ndio kusema hakuikosea Jamhuri?

Mbona JPM alipiga selfie na kale ka kiwete kabakaji kule butimba gerezani, tena akakaachia huru, ni kweli jinai haizeeki ila Dhabi huoshwa na unakuwa msafi kama theluji
 
Mange Kimambi hana makosa yeyote. Yule hayawani Meko au kwa sasa Mwendazake ilikuwa lazima atoke.
 
Jinai haina UKOMO. Akigusa Bongo ameumia, labda serikali itangaze kumsamehe.
Jinai iko wapi aliyofanya Mange Kimambi? Kwa mfano aliandika Magufuli anaishi kwa kibetri alichowekewa kifuani? Au Magufuli amezaa na mdogo wa mke wake Mama Janet na kamteua kuwa DED Kongwa?

Niwekee hapa charge sheet ya jinai ya Mange?
 
Hii y Hii ya mange kupiga picha na mh haipo sawa maana alimutukana san jpm nadhani jinai haifutiki
 
Wenye akili tulishahifunza kwa Ruto , na Odinga na kabla ya kigogo na kimambi tumeshajifunza kwa Uhuru na Ruto ,na pia kwa uhuru na Odinga. Hizo ndo siasa.

Ama kuhusu Mange alikuwa na ugomvi na JPM .
 
Kimambi!!! Yaani huyu Takataka naye leo hii unaleta iwe ni topic ya kujadili hapa JF!
 
Kwani mtu huwezi kumtukana Raisi na kumpenda makamu? Raisi Magufuli ahukumiwe mwenyewe
 
Kamanda umesahau Da' Mange alivyowasapoti!? Mkamuunga mkono. Akiguswa mnatukana...akaja Kigogo 14. Kumbe ipo siku Lissu pia mtamsaliti na kutaka afungwe kwa kutoa taarifa za uongo kuwa Rais 'yupo mateka' na Majaliwa ndio anaongoza nchi.
Kama Anavyosalitiwa mwendazake

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sioni Kosa hata kidogo kwani Ni Rais wa wote na bahati mbaya Yule kalala chato huko
 
Kamanda umesahau Da' Mange alivyowasapoti!? Mkamuunga mkono. Akiguswa mnatukana...akaja Kigogo 14. Kumbe ipo siku Lissu pia mtamsaliti na kutaka afungwe kwa kutoa taarifa za uongo kuwa Rais 'yupo mateka' na Majaliwa ndio anaongoza nchi.

umepanic mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…