Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Kaitiwa nini ila nec hawana mamlaka ya kumkamata muhalifu kwanini lisu akusanye watu usiku
 
Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.

Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.

"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro

View attachment 1587125


IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.

Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".

"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."

"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
Kumtenganisha TL na wapiga kura Ili aende kituo Cha polisi kuhojiwa, ni kuhatarisha amani ya kituo Cha polisi na usalama wa raia. TL analindwa na escort 4 na kundi la zaidi ya watu elfu kwa wakati mmoja.kumuita polisi IGP hujaitakia polisi haki. Ili kuweka mambo sawa muite wewe kwenye kituo Cha polisi nawe uwepo kituoni hapo uone Hali halisi. Raia wako frustrated kimaisha na wamekatwa tamaa wanaona suluhu ni TL. Polisi tumieni hekima kwa hili .
 
Usitutishee....mkamateni muone mtakavyoshukiwa na dunia nzima...
 
Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.

Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.

"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro

View attachment 1587125


IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.

Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".

"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."

"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
Mbona anatufokea?
 
Ndugu hujafa hujaumbika ucwe poyoyo ww
Hata Faru John mlikuwa mnasema hivyo tu. Subiri siku atakapotwangwa huyo kilema wenu. Msianze tena kulialia. Ngoja ashindwe uchaguzi tarehe 28/10/2020 alete cha kuleta wampelekee bomu moja tu tuone kama atakimbia na kamguu kake hako kafupi. Unakumbuka mabomu ya Arusha ya mwaka 2010 au 2011? Lissu alijificha wapi?
 
Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.

Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.

"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro

View attachment 1587125


IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.

Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".

"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."

"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
IGP tuambie wapi aliko saanane, azory, kangoye,

Nani alkmteka Mo?
 
Wewe huna saizi yoyote ile. Wala saizi yangu mimi huijui. Usijipendekeze.

Saizi zako weye ni kubwatuka tu mitandaoni kwa ujira kiduchu!

Hata kukujibu wewe ni kama nimekupa tunu. Nimelazimika tu kwa sababu ulitema pumba.

Just a little warning: Usirudie kujifanya wewe ni saizi yangu. Uache kujishongondoa.
You are a true man.
 
1601570396003.png
 
Mamlaka za wanadamu haziwezi kuzuia mpango wa Mungu Lissu amelala juu ya Jiwe Kuu. Amini Amini nakuambia Lissu anakuwa Rais wa nchi hii. Heri yao wabunge wa CCM watakaoshinda majjimboni kwa haki kuliko waliopita bila kupingwa kwa mizengwe. Uchaguzi wa marudio hawatakuwa tena wabunge. Yanayotokea kwa sasa ni muendelezo wa vyama tawala vya Afrika kuachia utawala kwa ugumu lakini vitaachia hata CCM inaenda kuachia. Sarakasi zinazoendelea ni kama ng'ombe anayechinjwa bila kufungwa kamba anaweza kukupiga mateke na kukujeruhi lakini atakata roho tu.
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
[/QUOT
 
Huyo kibaraka wa mabeberu aende haraka sana akaripoti polisi, huku NEC inamsubiri, ngoja tuone huyu kibaraka ataishia wapi. Na Watanzania hawana simile ile 28.10.2020 lazima wamkate vibaya mno.

Propaganda za UBEBERU hazina nafasi wala mashiko safari hii.
Nchi unaxozitegemea kiuchumi, Kiulinzi, Kiafya na Kiteknolojia huwezi kuzibeza kwa kuziita ati Mabeberu....!!
Unless you're talking He-goats(mabeberu ya mbuzi) mainly for some hot soup!!!
 
Mamlaka za wanadamu haziwezi kuzuia mpango wa Mungu Lissu amelala juu ya Jiwe Kuu. Amini Amini nakuambia Lissu anakuwa Rais wa nchi hii. Heri yao wabunge wa CCM watakaoshinda majjimboni kwa haki kuliko waliopita bila kupingwa kwa mizengwe. Uchaguzi wa marudio hawatakuwa tena wabunge. Yanayotokea kwa sasa ni muendelezo wa vyama tawala vya Afrika kuachia utawala kwa ugumu lakini vitaachia hata CCM inaenda kuachia. Sarakasi zinazoendelea ni kama ng'ombe anayechinjwa bila kufungwa kamba anaweza kukupiga mateke na kukujeruhi lakini atakata roho tu.
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
[/QUOT
 
Sawa hlo lipo wazi bt hakuna anaeweza furahia madhila ya bnaadamu mwenzie vyvyote itakavyokuwa
Kufa ni kufa tu wewe! Kila mtu amepangiwa siku yake ya kufa hata ufanyeje siku yako ilishapangwa!
 
Polisi,NEC, CCM
MNACHOWAFANYIA CHADEMA NA WATANZANIA WOTE .WATU WOTE MAKINI NA WENYE HEKIMA WANAONA.
 
Back
Top Bottom