Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Ila kawajambia vya kutosha na peacemaker ya jiwe saa hizi inataka kusimama kufanya kazi
Baada ya uchaguzi tunataka tuwaonyeshe mabeberu yenu kuwa msaliti Lissu hatumpendi kama wanataka wampeleke akagombee kwao.
 
Nimeona kama ile barua imeandikwa kwa mwenyekiti wa.

"Chana cha Democrasia na maendeleo"

Hapo hajaitwa Antipasi.

Chana [emoji119]
Democracia [emoji119]
maendeleo [emoji119]
 
Hivi nauliza igp ameshajua nan rais kama sio anapata wapi nguvu ya kumtisha mgombea kutoka chama kikubwa cha upinzani

Mimi nimetazama kwa kwa jicho la tatu haya yanayofanyika.
1. Kamanda IGP anajua taratibu za kisheria kwa cheo chake na kama hajui yeye basi wasaidizi wake wanajua na wengeweza kumshauri kabla hajaenda kwenye media kusema sasa alichokifanya yeye ni ili kumridhisha mkuru ili aone amesema jambo wakati kisheria anajua kwamba TAL hawezi kutii na itaishia hapo.
2. Kuhusu barua , kwanza uandishi wake, pili kukosea kwake sio kwa bahati mbaya bali ni mpango mkakati ili jamaa aelewe tu kwamba barua ya hovyo na hawana kusudi la yeye kufika kituoni na mchezo umeishia hapo.
3. Tume ya uchaguzi, pasi na shaka wanajua historia ya TAL na namna alivyo mbobezi wa sheria zaidi nadhani kuna msukumo toka juu na kwahiyo wao wanaharibu maksudi ili kuby time . Jiulize unadhani tume hawajui sheria na mtu wanae deal nae?
Mwisho
Naona kila eneo wamemchoka mkulu wanataka kuwa huru na usije shangaa hali ikibadilika huko mbeleni.
 
Mimi nimetazama kwa kwa jicho la tatu haya yanayofanyika.
1. Kamanda IGP anajua taratibu za kisheria kwa cheo chake na kama hajui yeye basi wasaidizi wake wanajua na wengeweza kumshauri kabla hajaenda kwenye media kusema sasa alichokifanya yeye ni ili kumridhisha mkuru ili aone amesema jambo wakati kisheria anajua kwamba TAL hawezi kutii na itaishia hapo.
2. Kuhusu barua , kwanza uandishi wake, pili kukosea kwake sio kwa bahati mbaya bali ni mpango mkakati ili jamaa aelewe tu kwamba barua ya hovyo na hawana kusudi la yeye kufika kituoni na mchezo umeishia hapo.
3. Tume ya uchaguzi, pasi na shaka wanajua historia ya TAL na namna alivyo mbobezi wa sheria zaidi nadhani kuna msukumo toka juu na kwahiyo wao wanaharibu maksudi ili kuby time . Jiulize unadhani tume hawajui sheria na mtu wanae deal nae?
Mwisho
Naona kila eneo wamemchoka mkulu wanataka kuwa huru na usije shangaa hali ikibadilika huko mbeleni.
Kabisa mkuu inaonekana wanapata pressure kubwa
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Wewe hujui kuwa hata akina Charles Taylor na Laurent Gbagbo nao walikuwa marais lakini leo wako wapi.

Hivyo ujue swala hilo unalolishupalia kama la kunyea debe halina mwenyewe kila moja linamhusu, kwa hiyo usitishe watu humu. Hakuna aliye juu ya sheria.
 
We Siro weweeee...thubutu...

Haya Majitu majinga majinga sijui yanapewaje nafasi nyeti kama hizi!!!
Badala ya kushughulikia CHANZO cha tatizo unahangaika na MATOKEO ya tatizo....!!!Jamaa anathibitisha tu jinsi alivo "Ziro" kichwani!
 
Sasa kama RPC haja mwita yeye anataka aende akaeleze mini?
 
Lissu hana raha uko aliko

Hili ni jeshi

Na jamaa kaongea public😂

Ili usipoenda, unyooshwe

Mtego huu

Aende tu
 
Huyu jamaa anadai kuwa hakuna mtu anayeweza kupambana na Jeshi la Police. Kwani ni nani amejaribu au ametaka kupambana na jeshi la police ..!!? Police waache kutumika wafanye kazi zao kimaadili. Mwezi mzima mambo yamekwenda vizuri npaka pale walipoona nyomi linazidi kuongezeka ndiyo wakaanza chokochoko zao.

By the way, umma unaweza kupambana na jeshi la police....!!
 
Ninyi wenyewe hamjitambui mnachokifanya mmeona moshi hawezi kwenda sasa hivi mnasema aende dar ona mlivyo mazuzuView attachment 1587466
Shika kamata huyo kibaraka, weka kolokoloni huyu kibaraka wa wazungu. Tena inabidi kumkomesha kabisa ajue this is Tanzania buana! Ningekuwa IGP, nisingemchelewesha
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Baba yako na mama yako ndiyo watakaonyea ndoo huna adabu! Ni hasara kubwa Sana nchi kuwa na ji2 kama wewe hilo bao lingeviringishwa kwenye nailoni likatupwa huko majalalani nyumbani Kwa yule prof wala tusingekuwa na hii hasara
 
Tungeona hicho alichowafanyia police kabla hatuja comment
 
Kila ninavyo muona Simon Sirro huyu halafu nikamlinganisha na Simon Sirro yule RPC wa Mwanza wakati wa uchaguzi wa 2010, hakika naona kabisa hawa ni watu 2 tofauti wanaofanana SURA na majina but tabia zao tipo tofauti sana, hongera sana Joseph Kikwete, huyu Jakaya wa sasa hivi sio kabisa
 
Baba yako na mama yako ndiyo watakaonyea ndoo huna adabu! Ni hasara kubwa Sana nchi kuwa na ji2 kama wewe hilo bao lingeviringishwa kwenye nailoni likatupwa huko majalalani nyumbani Kwa yule prof wala tusingekuwa na hii hasara
Mtanyooka tu tarehe 28/10/2020 siyo mbali. Mtatukana sana mama na baba zenu lakini dawa itawaingia tu.
 
Back
Top Bottom