IGP Sirro anastahili pongezi kwa kuiweka nchi chini ya usimamizi makini

IGP Sirro anastahili pongezi kwa kuiweka nchi chini ya usimamizi makini

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Tanzania tunapaswa kushukuru kwa kumpata IGP. Simon Sirro kwa kuweka kila kitu under control kuanzia zile siku za sintofahamu mpaka sasa tunafungua mwaka 2022 anastahili pongezi na kuombewa maisha marefu na kila Mtanzania mwenye nia njema hasa linapokuja suala la ulinzi na usalama nchini.

Usiku wa jana ulikuwa ni mwendo wa kupishana na Defender na utulivu wa hali ya juu hakuna cha baruti wala kuchoma matairi trust me kama pamengekuwa na takwimu basi jana Tanzania ingekuwa nchi ya kwanza kupokea mwaka katika hali ya utulivu na usalama nani mwingine kama sio IGP. Simon Sirro Kufanya hili liwezekane.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Ishi maisha marefu IGP endelea kuongeza dozi.

From northern part of Tanzania
 
Tanzania tunapaswa kushukuru kwa kumpata IGP. Simon Sirro kwa kuweka kila kitu under control kuanzia zile siku za sintofahamu mpaka sasa tunafungua mwaka 2022 anastahili pongezi na kuombewa maisha marefu na kila Mtanzania mwenye nia njema hasa linapokuja suala la ulinzi na usalama nchini.

Usiku wa jana ulikuwa ni mwendo wa kupishana na Defender na utulivu wa hali ya juu hakuna cha baruti wala kuchoma matairi trust me kama pamengekuwa na takwimu basi jana Tanzania ingekuwa nchi ya kwanza kupokea mwaka katika hali ya utulivu na usalama nani mwingine kama sio IGP. Simon Sirro Kufanya hili liwezekane.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Ishi maisha marefu IGP endelea kuongeza dozi.

From northern part of Tanzania
Kingai, Jumanne, Goodluck, Mahita na Msemwa ni wenzake chanda, pete na kidole?
 
Muda wako wa kustafu bado Siro achia kiti wengine wakae hapo.
 
Amani ya nchi imeshikiliwa na hekima na busara za Mbowe
 
Wapongeze Wananchi wenyewe hawana vurugu wako na utulivu
Wananchi wa zamani walikuwa hovyo sana. Ati kusherehekea ndio uchome moto matairi usumbue watu usiku kisa kusherehekea. Siku hizi watu wamekuwa wastaarabu sana.
 
Tanzania tunapaswa kushukuru kwa kumpata IGP. Simon Sirro kwa kuweka kila kitu under control kuanzia zile siku za sintofahamu mpaka sasa tunafungua mwaka 2022 anastahili pongezi na kuombewa maisha marefu na kila Mtanzania mwenye nia njema hasa linapokuja suala la ulinzi na usalama nchini.

Usiku wa jana ulikuwa ni mwendo wa kupishana na Defender na utulivu wa hali ya juu hakuna cha baruti wala kuchoma matairi trust me kama pamengekuwa na takwimu basi jana Tanzania ingekuwa nchi ya kwanza kupokea mwaka katika hali ya utulivu na usalama nani mwingine kama sio IGP. Simon Sirro Kufanya hili liwezekane.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Ishi maisha marefu IGP endelea kuongeza dozi.

From northern part of Tanzania
Mkuu Nchi zetu maskini na fukara tumekuzwa na Utapiamlo Lishe duni nk. Wengi wetu ni Roho mbaya, Wivu, Husda na mbaya Zaidi tuna Uwezo Mdogo wa kufikiri kwakuwa Ubongo zetu hazikupata Lishe thabiti wakati wa makuzi.
Ubongo zetu ni One Way kamwe haziwezi kufanya Reasoning tunachoweza ni Kulalamika kutwa kucha na kuangushia zigo la lawama kushindwa kwetu maisha au Umaskini wetu umeletwa na kundi fulani, mtu fulani au Chama fulani. Hiii ni sumu mbaya kwetu tutaendelea kubaki tulipo.
Anyway Sirro atasifiwa siku akifa au siku akipata Mrithi dhaifu.
Hata JK alipokuwa Rais alipigwa madongo yooote mara Vasco Da Gamma, Mr. Dhaifu nk. Ilipotimba awamu ya 5 ya JPM yule Mr Dhaifu alikuwa akipigiwa mpaka simu za kumlamba miguu kwamba yeye ndie Rais baaab kubwa.
Kwa kifupi maskini wengi hatujui nini tunakitaka kwa Viongozi wetu
 
Back
Top Bottom