peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Wakati wa JPM haya maneno mbona hukuyasema"Askari mmoja analinda watu 2,000 jambo ambalo haliwezekani, kimataifa askari mmoja anapaswa kulinda watu 450, ili kutatua hilo ni vema tukawa na ulinzi shirikishi na asiyetaka kulinda alipishwe faini kama Dar es salaam wanavyo fanya"IGP Siro
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Siro Juni 30.2021amefanya mkutano wa tathimini ya pamoja na viongozi wa ngazi ya kata wakiwemo, Wenyeviti wa vijiji, Mtaa, Madiwani, Watedaji wa kata na vijiji Mkoani Kilimanjaro kuhusu hali ya usalama na umuhimu wa viongozi hao kwenye jamii
Wale wa sinza road unafikiri wapo vitani kumbe njaa ya buk 2000 tuHalafu unaweza kuta trafiki 10 wanamuwinda dereva mmoja🤣
aliyebeba abiria 65.Halafu unaweza kuta trafiki 10 wanamuwinda dereva mmoja[emoji1787]
Bosi wake aliyepumzishwa si alikuwa hataki polisi jamii, na kuwa ni lazima polisi aogopwe na wananchi, sio kushirikiana nao! Igp analinda wananchi wangapi? Hawawezi kulinda ila kuwabambikia kila kesi wanaweza."Askari mmoja analinda watu 2,000 jambo ambalo haliwezekani, kimataifa askari mmoja anapaswa kulinda watu 450, ili kutatua hilo ni vema tukawa na ulinzi shirikishi na asiyetaka kulinda alipishwe faini kama Dar es salaam wanavyo fanya"IGP Siro
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Siro Juni 30.2021amefanya mkutano wa tathimini ya pamoja na viongozi wa ngazi ya kata wakiwemo, Wenyeviti wa vijiji, Mtaa, Madiwani, Watedaji wa kata na vijiji Mkoani Kilimanjaro kuhusu hali ya usalama na umuhimu wa viongozi hao kwenye jamii
Ongeza sautiiiiiiAskari atatulindaje akiwa kituoni, sisi tunalindwa na Mungu. Hao askari uchwara wa Sirro kila tukivamiwa na wabeba machine huwa wanafika Massa kadhaa baada ya majambazi kutikomea kusikojulikana.