Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umeshiba kande zakoTundu Lisu
Hakuna taasisi huru zaidi ya makada wa CCMTaasisi huru na zenye nguvu zifanye kazi
Nimeshayafanya sana haya, kama ulikua bado mbimbi wakati uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995, uchaguzi ambao sisi vijana kipindi hicho tulisimama na kunyosha vidole juu ,tulia hatuwezi kuwa na debate na wewe,kwangu wewe ni zuzu ambaye hadi leo unafikiri na kuona vitisho ndio njia ya kuwatisha watu, kweli 🦎 ni tofauti kabisa na crocodiles 🐊tekeleza nilichokushauri kisha rudi stupe mrejesho
Huu ni upumbavu wa hali ya juu ya middle class (ana uwezo wa kuleta mkate tu mezani)na uzuzu wako ndio unaturudisha nyuma nchi yetuhatukutakiwa kuwa na hizo vizuizi wala polisi, ikiwezekana polisi ivunjwe kusiwe na polisi tuishi kwa amani na furaha. kila mtu afurahie uhuru, afanye atakavyo... mwenye kubeba panga kama masai, mwenye kubeba gobole kama taleban etc...
polisi wa nini? wakazi gani miaka hii? uhuru una maana gani kama tuna polisi, tuna jeshi, tuna magereza, tuna usalama wa taifa...
Polisi wa TZ hawajui hilo.. WAO FORCE APPLIED INAKUWA PROPORTIONAL NA KIWANGO CHA HASIRA WALICHONACHO...!!! Si unakumbuka walivyolitawanya tumbo la mwandishi wa habari kule Mafinga? Mtu hana silaha, yupo peke yake... wao wapo kibao na mashine za 'kutawanyia tumbo', lakini wakafanya yao. SI unakumbuka jinsi walivyokatisha risasi kona hadi ikamuuwa Akwilina?Force applied should be propionate to the situation , any excessive use of force is a criminal offence.
Kwa hiyo kwako hiki ndo kipimo cha uwepo wa IGP...!!!!?? Ungebadili hiyo username yako tujuwe moja..!!nenda polisi kamtukane askari yeyote rudi utuambie kama IGP yupo au hayupo
Muhubiri 4:4Mkuu wa Jeshi la Polisi Kamanda Sirro amesema Jeshi linajua kuna viongozi wa serikali na Wanasiasa wanawachochea Wamasai wa Loliondo wagomee zoezi la uwekaji wa mipaka.
Sirro amewatahadharisha viongozi hao kwamba Sheria itafuata mkondo dhidi yao kwani hakuna mtu aliye Juu ya Sheria
Source BBC Dira ya Dunia
Achana nae, amekunywa mbege Rau madukani huyoUmeshiba kande zako
Huyu aage tu aende likizo ya kustaafu Mara zote amekuwa akificha udhaifu kwa kuwasingizia Wana siasa aende tu bhana asubiri 2025 akagombee udiwani kijijini kwao kupitia chama chao ccm.Mkuu wa Jeshi la Polisi Kamanda Sirro amesema Jeshi linajua kuna viongozi wa serikali na Wanasiasa wanawachochea Wamasai wa Loliondo wagomee zoezi la uwekaji wa mipaka.
Sirro amewatahadharisha viongozi hao kwamba Sheria itafuata mkondo dhidi yao kwani hakuna mtu aliye Juu ya Sheria
Source BBC Dira ya Dunia
Uvccm hao....Acha uzuzu na woga wa kitoto
Kuwa igp wewe
PS wa CCM hana shidaAchana nae, amekunywa mbege Rau madukani huyo
Chongolo kawaonya waache kula rushwaPS wa CCM hana shida
Tundu Lisu kaonekana KIA anaelekea NgorongoroPS wa CCM hana shida
HayatasikiaChongolo kawaonya waache kula rushwa
Kwani haruhusiwi?Tundu Lisu kaonekana KIA anaelekea Ngorongoro