kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Je, IGP bado anamtafuta Kigogo2014 ?
Je, IGP bado anamtafuta Mange Kimambi?
Je IGP bado ana kesi na Manji?
Tunaamini Polisi ya Tanzania inapambana na wahalifu au inapambana na watu wenye mtizamo tofauti na CCM na viongozi wake?
Kama wanapambana na mitizamo hasi dhidi ya CCM ni lina tutapata jeshi linaloyaishi mahitajio ya sheria na katiba ya nchi?
Je, IGP bado anamtafuta Mange Kimambi?
Je IGP bado ana kesi na Manji?
Tunaamini Polisi ya Tanzania inapambana na wahalifu au inapambana na watu wenye mtizamo tofauti na CCM na viongozi wake?
Kama wanapambana na mitizamo hasi dhidi ya CCM ni lina tutapata jeshi linaloyaishi mahitajio ya sheria na katiba ya nchi?