Kwa matamshi yako ya juzi na ulivyolishughulikia suala la marehemu Hamza, hakuna anayekuunga mkono. Kila mtanzania mwenye akili, mpenda haki, ukiacha wanaojikomba wapate mlo wao (wanafiki), watu wema, wapenda haki wanakulaani kwa matamshi yako.
Unaonekana kuwatetea mapolisi pamoja na kuwa wamejijengea sifa ya kuonea watu , kula rushwa na maovu mengine (ingawa siyo wote but by a majority wako hivyo).
Rais wako alionya juu ya uonevu na kutumia nguvu kupita kasi, UKAMPUUZA.
Unaonekana kuwatetea mapolisi pamoja na kuwa wamejijengea sifa ya kuonea watu , kula rushwa na maovu mengine (ingawa siyo wote but by a majority wako hivyo).
Rais wako alionya juu ya uonevu na kutumia nguvu kupita kasi, UKAMPUUZA.