IGP Sirro, hali ya usalama barabarani inatisha. Chukua hatua haraka!

IGP Sirro, hali ya usalama barabarani inatisha. Chukua hatua haraka!

Tatizo polisi wameshaona kupokea rushwa na kuchukua hela za raia ni haki yao.. hapo usitegemee watatimiza majukum yao hata akija nani. Madereva wengi hata akiwa amekamilisha kila kitu lakini bado anatakiwa kuwa na hela ya trafiki na sio ya faini
 
tatizo polisi wameshaona kupokea rushwa na kuchukua hela za raia ni haki yao.. hapo usitegemee watatimiza majukum yao hata akija nani. Madereva wengi hata akiwa amekamilisha kila kitu lakini bado anatakiwa kuwa na hela ya trafiki na sio ya faini
Hasa malori wanaonewa sana hsliwezi kupita point yoyite ya polisi bila kusimamishwa na kutoa chochote.
Nashauri jeshi la usalama barabarani lifumuliwe lote kabisa
 
Umesema chanzo kikubwa ni mwendo kasi... nakupinga hili..

Ajali zote za mkoa wa mbeya asilimi zaidi ya 80 ni ubovu wa mifumo ya magari hasa upande wa brake...

Kingine ni miondombinu ya barabara..mfano moja ya ajli za Mbeya derea wa roli alihama upande wake akaajaa kulia kisa akwepe shimo lilikua upande wake...sasa hapa siro sijui tumuweke wapi.

naomba nimalize ....
 
Umesema chanzo kikubwa ni mwendo kasi... nakupinga hili..

Ajali zote za mkoa wa mbeya asilimi zaidi ya 80 ni ubovu wa mifumo ya magari hasa upande wa brake...

Kingine ni miondombinu ya barabara..mfano moja ya ajli za Mbeya derea wa roli alihama upande wake akaajaa kulia kisa akwepe shimo lilikua upande wake...sasa hapa siro sijui tumuweke wapi.

naomba nimalize ....
Kama nimesoma uzi vizuri mleta uzi ametaja ubovu wa magari ambayo breki inaingia humo na ubovu wa barabara ameutaja pia.
Kumbuka polisi kikosi cha usalama ni jukumu lao kukagua ubovu wa gari lkn wao huegemea makusanyo tu
 
Kama nimesoma uzi vizuri mleta uzi ametaja ubovu wa magari ambayo breki inaingia humo na ubovu wa barabara ameutaja pia.
Kumbuka polisi kikosi cha usalama ni jukumu lao kukagua ubovu wa gari lkn wao huegemea makusanyo tu
Makusanyo yapi?!!

Sema Rushwa!!
 
Kama nimesoma uzi vizuri mleta uzi ametaja ubovu wa magari ambayo breki inaingia humo na ubovu wa barabara ameutaja pia.
Kumbuka polisi kikosi cha usalama ni jukumu lao kukagua ubovu wa gari lkn wao huegemea makusanyo tu
Nchi hii ukaguz ukifanyika kikwelikweli
Asilimia ndogo sana ya magari ndiyo
Yatakuwa barabarani...
Mwisho wa siku wabongo wenyewe
Mtaanza kulalamika..
Maana watanzania hawajuagi washike lipi na wanataka nini!

Mwisho!usalama wowote unaanzia na weee,mimi....
Hivi unafikiri huyo mwenye gari hakujua kama gari lake lilikuwa na ubovu....

Ova
 
Nchi hii ukaguz ukifanyika kikwelikweli
Asilimia ndogo sana ya magari ndiyo
Yatakuwa barabarani...
Mwisho wa siku wabongo wenyewe
Mtaanza kulalamika..
Maana watanzania hawajuagi washike lipi na wanataka nini!

Mwisho!usalama wowote unaanzia na weee,mimi....
Hivi unafikiri huyo mwenye gari hakujua kama gari lake lilikuwa na ubovu....

Ova
Kwa hiyo hawatimizi majukumu kwasababu tutalalamika?.
Wao watimize majukumu yao hata kama tutalalamika lakini tutabadilika
 
Nchi hii ukaguz ukifanyika kikwelikweli
Asilimia ndogo sana ya magari ndiyo
Yatakuwa barabarani...
Mwisho wa siku wabongo wenyewe
Mtaanza kulalamika..
Maana watanzania hawajuagi washike lipi na wanataka nini!

Mwisho!usalama wowote unaanzia na weee,mimi....
Hivi unafikiri huyo mwenye gari hakujua kama gari lake lilikuwa na ubovu....

Ova
Vyombo vya dola huwa havifanyi kazi kwa matakwa ya watu yaliyo kinyume na sheria mkuu.
Ni jukumu lao kukagua na kuwajibisha magari mabovu bila upendeleo wala rushwa.
Wakifanya hayo watapunguza ajali na atasifiwa
 
Tatizo polisi wameshaona kupokea rushwa na kuchukua hela za raia ni haki yao.. hapo usitegemee watatimiza majukum yao hata akija nani. Madereva wengi hata akiwa amekamilisha kila kitu lakini bado anatakiwa kuwa na hela ya trafiki na sio ya faini
Atakayeshughulikia kikamilifu rushwa ya hawa askari wa barabarani atasaidia sana kupunguza tatizo la ajali barabarani.
 
Yaan hao wenye mavaz meupe ndio kama wamejipa majukumu wamebaki kuokoteza kama wanakusanya hela za mchezo, pita maeneo haya uone utafikiri kama wao vijumbe wa michezo.

1 Mwembe yanga

2😀arajani njia hii kama unaenda kutokea keko


3😛ale relini (DEVIS CONNER) kama unakwenda Buza.


Lazima ajari zitokee sana, watu wamejipa majukumu mengine badala ya kusimamia
Wamejigeuza TRA ndogo.
 
Atakayeshughulikia kikamilifu rushwa ya hawa askari wa barabarani atasaidia sana kupunguza tatizo la ajali barabarani.
Tatizo hizo rushwa wanagawana na askari wa juu, kumbuka ili uwe askari wa usalama barabarani sharti utoe pesa ndefu
 
Back
Top Bottom